Beki wa Boli, Hamza enzi hizo akiwa kinda wa miaka 12 Mbeya City

ila utasikia wana simba Yanga alibebwa ile game 🀣🀣
 
Aisee anaonekana ni kinda kabisa yaani katoto haswa. Kwa miaka 12 hapo ni sahihi kabisa aisee wachezaji wa bongo wanajitahidi sana kuwa wakweli kwenye umri wanahitaji pongezi katika hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…