Beki ya kati ya Simba inanitesa

Huyu kocha kakariri sifa kubwa ya kiungo mkabaji ni kutibua, kusahihisha pale mabeki wanapokosea na kukaa sehemu sahihi lakini mkude hana sifa hizo, Fraga alicheza mechi na biashara kwenye viwanja vibovu lakini bado anambania
Kwa mechi ya jana Fraga hakuwa Fiti. Ndo kwanza alirejea toka kwao.
Wawa naye karejea toka kwao kuoa mke wa pili.
Miqueson naye jana hakuwa Fiti, ndo kwanza katoka kwao kuoa mke wa kwanza, alilazimisha tu kucheza.
Morrison hakuwa kwenye game na mabeki walimkamia sana.

Ukweli jana wachezaji walicheza katika kiwango Cha chini.
 
Mechi ya pili hii Simba inacheza chini ya kiwango. Mechi dhidi ya Ihefu, Simba ilicheza chini ya kiwango japo walipata matokeo
 
Nitatupia baadae nini Fraga alikuwa akifanya alipokuwa kwao.
Alikuwa na trainer wake maalumu tena alikuwa anafanya mazoezi kwenye sehemu ambayo kuna mchanga kama wa beach na mazoezi mengine.
Fraga sio aina ya wachezaji wetu wakiwa mapumziko wanashinda bar.
Kombinationi ya Onyango na kenedy juma ilishakataa jana Amne aliwekwa benchi wakati mechi ya kwanza alicheza vizuri na Onyango.
Makosa ya Mkude yanatugharimu sana timu yeye na Mzamiru hawawezi kuzuia wakati Nyoni ingawa kasi imepungua lakini anaweza kucheza vizuri kiungo wa kuzuia kwani ana akili ya kupunguza presha timu ikishambuliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…