MotoYaMbongo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,146
- 886
Hayajawa serious na Tanzania mkuu hayo mabeberu, yakiamua kuwa serious hasa, tutatafutana hum.Upo sahihi mkuu. Ila kwa Tanzania mataifa ya magharibi yanataka kupambana na China kwenye maswala ya kiuchumi na kidemokrasia.
Katika uchaguzi huu wanamtaka Lisu huku Uchina ikitaka ccm iendelee kutawala
Usimdharau, anaweza endapo mabeberu yataamua kuwa upande wake 100%.Tanzania kamwe haiwezi kupitia katika hali hii mtu mmoja tu amabaye ni lissu hana uwezo wa kutikisa amani ya nchi yetu hata kidogo
Tutafata mkondo wa ZimbabweSasa fikiria nguvu waliyotumia mataifa ya magharibi dhidi ya taifa hilo waielekeze Tanzania. Tutatoka salama kweli?
Unataka uhuru wa kufanya unachotaka??Nikiangalia kitanzi wanachokipitia mataifa hayo kuna uwezekano Tanzania nayo itapitia kitanzi hichohicho kupitia kwa upinzani wa Lisu dhidi ya serikali isiyojali haki za binadamu na uhuru wa mtu mmoja mmoja
Anawawakilisha wanaotaka uhuru wa kufanya/kufanywa wanavyotakaLisu anawakilisha kundi la watu, watu wanaodai haki na Uhuru ..
Ibeni tu kura majibu yatapatikana ,kwanza Tzn nani ataikingia kifua ikiwa China alishindwa kwa Zimbabwe? Tunawaomba Wazungu watusaidie kupata haki yetu na maccm yote jelaSasa Tanzania hapo inaingiaje mkuu? Au ulitaka kumuomgelea huyu kibaraka wa mabeberu mheshimiwa sana lissu
Sawa Sasa wananchi wengi wakichagua upande huo wa Nato si ni wao wameamua kwa Nini pimbi wachache wakomae kubaki na Russia? Wamekataliwa wapige chini vinginevyo kusiwe na uchaguzi iwe Kama China.Urusi Hana faida kwao wa kazi gani?Marekani na washirika wake wa NATO wanachotaka ni kwamba nchi zote zilizokuwa ndani ya iliyokuwa Soviet Union zinapokonywa kutoka kwenye siasa zenye ushawishi wa Russia, na kuzifanya zifuate ushawishi wa kimagharibi. Dhumuni kubwa ni kuzifanya hizo zote ziwe mahasimu wa Russia kijeshi na kiuchumi kwa msaada wa NATO. Mwisho wa siku hizo nchi zitageuzwa kuwa military base za NATO kwa ajili ya kuidhibiti Russia kijeshi na kiuchumi.
Kuna mwananchi gani hajui kwamba machina ni manyanyasaji na yamegawiwa tenda kibao za ujenzi na maccm,Bora tugeukie West Kuna utu kidogo ,hiki ndio tunataka Ila sio hao mabwana wa ccm wenye vimacho Kama vya goroliUpo sahihi mkuu. Ila kwa Tanzania mataifa ya magharibi yanataka kupambana na China kwenye maswala ya kiuchumi na kidemokrasia.
Katika uchaguzi huu wanamtaka Lisu huku Uchina ikitaka ccm iendelee kutawala
Anawakilisha kundi la watu wachache tu hapa Tanzania. Hivyo hana sumu yeyote.Lisu anawakilisha kundi la watu, watu wanaodai haki na Uhuru ..