Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ha haAkbar akbar
Urusi toka kusema kwamba itaichukua Kyiv kwa muda wa siku tatu na raisi wa Ukraine,Zelensky ajisalimishe au atoroke nchi mpaka kuitisha msaada toka kwa Iran na Belarus?Hata mimi siielewi hii ni Urussi gani inayohaha kiasi hiki hadi kuomba misaada kutoka Belarus, Iran, N.Korea, Kampuni binafsi ya Wagner, Inakamata wanafunzi wa Kiafrika na kuwalazimisha kuingia vitani, n.k. Yan Urussi sasa imekuwa one among the inferior and powerless countries.
Anaongea Pro NATO wa buza,ila NATO wenyewe wanamjua Urusi ni nani!Urusi ,anayejitapa Superpower kusaidiwa na Iran,Belarus ni fedheha.
Hakika huyu ni superpower wa mchongo ๐ค
Hahahahahahaha,anasema haya Pro NATO wa buza๐๐๐๐!Urusi umeuvunja moyo wangu [emoji24][emoji22][emoji22][emoji22]
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Na ndo maana wanamng'ang'ania kama mpira wa kona.โฝโฝURUSI haitaki kueleweka na watu wengine wakijielewa wenyewe inatosha
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanao pambana nae watoto sanaaaNa ndo maana wanamng'ang'ania kama mpira wa kona.[emoji460][emoji460]
Wanamtesa sana ujue lakini.