Belarus yatumia maharamia kuidhoofisha EU, yatishia kukata gesi inayotumika kupunguza baridi kwenye nchi nyingi za EU, vita yanuka

Belarus yatumia maharamia kuidhoofisha EU, yatishia kukata gesi inayotumika kupunguza baridi kwenye nchi nyingi za EU, vita yanuka

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264

Nchi ya Belarus inatmua maharamia kuidhofisha EU ikiwa na lengo la kujaza maharamia wengi sana kwa kuwasaidia kuzamia katika nchi za EU.

katika miezi ya hivi karibuni, maelfu ya watu wamesafiri kwenda Belarus kutoka Mashariki ya Kati, Afrika na Asia ili kuzamia Ulaya ya magharibi. maharamia wamesaidiwa na serikali ya Belarus kwa kutumia kampuni za watalii zinazotoa vibali, kampuni hizo ziliwapangia safari za ndege hadi Minsk mji mkuu wa Belarus na kutoa usafiri wa ardhini hadi mpakani mwa Poland. Mara baada ya kufika huko,wanajeshi wa Belarus huwaonyesha mahali palipo mpaka wa kuingia Poland na kisha kuwazuia kurudi .

Pia raisi wa Belarus kachimba biti kwamba, bomba la gesi inayotumika na nchi nyingi za EU, linapita kwenye nchi yake kwa hio akiwekewa vikwazo anaweza kupiga blok hio gesi na kuwalaza na baridi.

huko mpakani mwa Poland hali si hali, mda wowote inaweza kunuka

1636997514867.png
 
Mimi hata sijakuelewa, tulia tuletee hiyo habari kwa utuo tuweze kubatana pamoja.
 
Walale na baridi

Wataimport sana wadada huku afrika maana wao kwa wao wabaridi tu ......mambo ya kuku wakienyeji na kuku wakizungu
 
nchi za balkani au zile za former USSR zina watu wenye akili za ajabu sana sana, na hawatakuja kuwa watu wa kawaida. pili, hakuna kitu kibaya kwenye nchi kuchimba mkwara kwa mwenzako kumkomoa kwa kutumia kitu kinachopita kwako au anachokitegemea,

manake kuanzia sana nchi zinazotumia bomba hilo zitaanza kutafuta mbadala wa kudumu wa hilo bomba na yeye atakosa vyote na belalus sio nchi tajiri though ipo EU na wadudu wanawachukia watu weusi hawa, kama ulishawahi kwenda ulaya ukababuliwa kwa rangi hawa balkan countries are not used to black people, wanakuona nyani hutakiwi hata kuoa wanawake wao hata kama wao hawawatumii.
 
Na sasahivi kuna baridi hatareeee mpaka koro zinaganda.[emoji1787][emoji1787]

Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Hawa jamaa ndio walioamuru ndege ya abiria itue kwenye uwanja wao kisha wakamchomoa mpinzani wao aliyekuwa uhamishoni
 
Hawa jamaa ndio walioamuru ndege ya abiria itue kwenye uwanja wao kisha wakamchomoa mpinzani wao aliyekuwa uhamishoni
 
Russia ndiye muuzaji mkuu wa gesi Ulaya, ilo tu linatosha kuonyesha kuwa beralus watapiga domo tu ila hawawezi hujumu miundombinu ya gesi.
hadi wakasaema hivyo ujue wanajua namna walivyoshika wazungu wenzao pabaya. kwani bomba la gas toka russia kwenda nchi kadhaa za ulaya linapita wapi?
 
hadi wakasaema hivyo ujue wanajua namna walivyoshika wazungu wenzao pabaya. kwani bomba la gas toka russia kwenda nchi kadhaa za ulaya linapita wapi?
Unafikiri kwa hali mbaya ya Uchumi wa Russia atathubutu kufanya huo ujinga akose mabilioni ya hela ya Gas anayouza Ulaya?
 
Ulivyo hujui lolote, unadhani Russia ni Tajiri?
Nyie CCM mna tabu sana
Nadhani unafikiri humu JF watu wote ni std 4 na hawaijui Dunia inavyokwenda.

Nikukumbushe tu kuwa kwa ukubwa na Ukongwe wa JF ni wazi kila kada wapo humu. Mfano Unaweza kuleta uwongo kuhusu ndege ya ATCL kumbe Rubani wake yupo humu anakuangalia tu.
 
Back
Top Bottom