Deadbody
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 4,274
- 6,595
Saivi story ya dunia katika nyanja ya michezo ni messi,
Everyone anamuongelea Messi,yani imekuwa kero sasa kumsikia huyo messi.
Katika vitu ambavyo wengi wanakisahau ni kuwa hakuna team kutoka America inayoweza kushindana na kuifunga Belgium.
Belgium pamoja na Ufaransa pekee wanaweza iwakilisha Europe bila uwepo wa nchi zingine za Europe na still kombe likabaki Europe.
Mnapomjadiri Messi mkumbuke pia kuna France na German wanajiandaa na michuano hiyo.
Mimi Deadbody nikiwa na akili timamu na afya pia natangaza hadharani bila kuficha chochote kuwa iwapo kombe lisipochukuliwa na Belgium au France nipigwe ban ya maisha kutumia JF na kifungo cha miaka kadhaa gerezani Kwa kosa la kutumia vibaya mtandao Kwa kuwadanganya watu.
Everyone anamuongelea Messi,yani imekuwa kero sasa kumsikia huyo messi.
Katika vitu ambavyo wengi wanakisahau ni kuwa hakuna team kutoka America inayoweza kushindana na kuifunga Belgium.
Belgium pamoja na Ufaransa pekee wanaweza iwakilisha Europe bila uwepo wa nchi zingine za Europe na still kombe likabaki Europe.
Mnapomjadiri Messi mkumbuke pia kuna France na German wanajiandaa na michuano hiyo.
Mimi Deadbody nikiwa na akili timamu na afya pia natangaza hadharani bila kuficha chochote kuwa iwapo kombe lisipochukuliwa na Belgium au France nipigwe ban ya maisha kutumia JF na kifungo cha miaka kadhaa gerezani Kwa kosa la kutumia vibaya mtandao Kwa kuwadanganya watu.