Belle 9 ajibu mapigo ya Darasa na Diamond kwa kishindo

Diamond kafanya mapinduzi makubwa sana kwenye muziki wa kizazi kimpya, yaani amekuwa kama SI unit ya muziki huo, maana kila msanii lazima amkopi, au amtaje au atafute "beef" nae ili aweze kuuza kazi yake
Kila msanii??????
 
Mziki wa kawaida sana si wa kuufananisha na wa darasa or diamond
 
Inasikitisha liquma limeweka viMb vyake vya jero linaponda audio na vidio ya kijana au mzee mwenzake ambayo imekost 10M+.

Watu kama hao ndio masnitch kazini na mashule.

Tuacheni uchawi jmn na tusapoti vya kwetu.
 
Mtoa mada hufai hata kuwa mpishi, kwa kusifia vionjo ovyo kama hivi n dhahiri utagombana na walaji....
 
Mi naona yeye ndo kawa mrembo ila wimbo hauna lolote zaidi ya dooo do do do doooo doodo dodo......
 
Hair style ya TECKNO, alafu beat ka mix ya darasa, Salome ya platnumz na saida karoli, rhymes flan za saida karoli.....Hawa wasanii naona wanatembelea nyota ya saida karoli sasa
Kila msanii ameona aweke kionjo cha salome mpk kero sasa huyu bele 9 kulikuwa hakuna haja ya kuweka kionjo cha saida
 
Iyoooo yoyooo iyooo yoyoyoyo [emoji23] bado kidogo amalizie chambua kama karanga[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Muziki wake wa kawaida sana sio mkali wala nini afu ameweka swaga za saida karoli kimtindo.darasa aka shule ndo ngoma inayobamba kupitiliza aisee
 
Nilikuja kwa ajili ya G WARA WARA too bad I'm disappointed.
 
tuzo ya mwanamuziki bora iende kwa saida kaloli..............nyimbo tatu zilizohit mwaka huu ni smple kutoka kwenye nyimbo yake.
 
Masikio yangu yatakuwa hayana uwezo wa kutambua mziki mzuri kama hii ngoma ni kali.

nilifikiri ni mimi peke yangu ndio sielewi nyimbo kali.

natamani atengeneze part II ya nyimbo zake za zamani (wanaita remix)....kuliko hii, kwaya si kwaya, risala si ngonjera basi shida tu kawimbo kabayaaaa...ila mbwembwe kibao.
 
Audio Ina mambo mengi mpaka imepoteza U asili wake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…