UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,543
- 7,880
Kila msanii??????Diamond kafanya mapinduzi makubwa sana kwenye muziki wa kizazi kimpya, yaani amekuwa kama SI unit ya muziki huo, maana kila msanii lazima amkopi, au amtaje au atafute "beef" nae ili aweze kuuza kazi yake