Belle 9 ajibu mapigo ya Darasa na Diamond kwa kishindo

Belle nine kama akitulia ni msanii mkali sana, kwa sababu ana local na international swag kama wizkid, ana uwezo wakuimba katika beat yoyote kama wizkid ila naona hajatulia, mimi badala ya diamond platnumz huyu ni msanii wangu namba mbili ninaye mkubali.
 
[HASHTAG]#freemaxencemelo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TunamtakaBenAkiwaHai[/HASHTAG]
[HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#usirudiekosa2020[/HASHTAG]
 
Nilichoona humo ni colour ya video tu BA's,,,
 
Kwa Belle_9 hii nyimbo ni ya kawaida mno.. huyu jamaa ni kichwa ila sijui hapa kafanya nini aisee
 
Bureee kabisa!sion jipya labda show la mademu ovyoo kuliko maelezo hakuna wimbo hapo
 
Hapo hakuna kitu, hakuna Kipya chochote wala hakuna ubunifu wowote, kuna makosa mengi sana. Kwa mfano...
1/KUIGA.
-Wimbo wa Diamond(Salome)
-Beat ya Darasa(Muziki)
-Video ya Ney wa Mitego(Yenye muundo huo huo wa kuwakaribisha utitiri wa 'malaya' kwenye jumba ili kufanya starehe)

2/UFUSKA.
-Sidhani kama watu wenye heshima zao na wastaarabu wanaweza kuifurahia video yoyote yenye kuwaanika mabinti nk.
 
Daudi Mchambumechanganya8927379 said:
Nyimbo mzuri sana.

Safi Ben Paul
Ben Paul tena?
Mkuu umechanganya mambo nini?
Humu inajadiliwa video ya Belle 9, sasa Ben Paul ameingiaje tena?
 
Kuzaa mtoto mzuri wa kike kwenye hii dunia ni hatari
 
Nyimbo iko poa sana.
Belle 9 na ommy dimpoz waimbe kama zamani style zao ziko poa zaidi ya hizi za kisasa.
**Muziki ya darasa inakimbizana na:
-rudi ya nerdy muzic ft bella
-kokoro ya richmavoko ft diamond
-cash madam ya Vmoney
-usisahau ya Timbulo ft baraka da prince
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…