Belle 9 ajibu mapigo ya Darasa na Diamond kwa kishindo

Kawaida saanaa...... kwanza kaharibu. si level zake.
 
Kweli watu tupo tofauti...yani nyimbo ya hovyo ivo afu eti mtu anaona ngoma nzuri duh. Huyu katumwa itakua
Bureee kabisa!sion jipya labda show la mademu ovyoo kuliko maelezo hakuna wimbo hapo
Sijaelewaaa
Nyimbo nzuri sema watu huy jamaa amnaga time nae wangine mnasema arudie stayle za nyuma huku hizo nyimb hazikuwah kumpa tuzo hii ni nyimbó Kali sana nimeingalia youtube mara.20 nasikitishwa na wivu wa kimaskini kama huu
 
Huyu dogo alishawahi kusema eti Diamond anamzidi connections tu [emoji1]
 
SIJUI LAKINI HUENDA NIKAWA SIUJUI VIZURI MZURI NI UPI ILA KUSEMA KAJA KUMPITA DARASSA NA HUU WIMBO NI DHARAU KABISA😎
 
Darasa kawapeleka mbio sana vijana mpaka wameanza kudurufu mapigo yake, kweli [HASHTAG]#MUZIKI[/HASHTAG] inawakimbiza
 
Ha ha ha..huu wimbo naupa kama 55-60%...sio hitsong bro. N wimbo wa kawaida tu kama zingne za akina giggy money ft matonya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…