Belle 9: Utundu wangu nilipokuwa nasoma Shule ya Msingi

Belle 9: Utundu wangu nilipokuwa nasoma Shule ya Msingi

Frumence M Kyauke

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2021
Posts
630
Reaction score
1,262
Kituko ninachokikumba ni cha rafiki yangu wa shule ya msingi Theresia, yeye alikuwa anaishi karibu na shule lakini alichokuwa anakifanya anaamka mapema anakuja nyumbani kunifuata kisha tunaenda tena shule na adhabu ya kuchelewa tunapewa pamoja,"- Belle 9

"Halafu mimi nilikuwa kichwa kuliko yeye, maana alikuwa ananitegemea kwenye vitu vingi vya darasani na sikuwahi kuelewa kwanini alikuwa anakubali tupate adhabu na kwanini yeye alikuwa hawezi tu kwenda shule moja kwa moja hadi anifuate mimi"- Belle 9

images - 2021-11-12T120047.721.jpeg
 
Belle 9 nakukumbusha kuwa yule Mtoto wa Mwalimu E William mliyekuwa mnaenda kuiba miwa maji ya chumvi, kubeba matofali kwenye tanuru, kuruka sarakasi mapumbani, kuogelea mto ngere ngere na kuangalia video za Zalumenda, San Deo miaka ya 1994- 1999 shule ya Mazimbu A Chamwino Morogoro, ndiye mimi....[emoji38]

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom