Belouizdad ni timu mbovu sana, Yanga wasiwe na presha

Belouizdad ni timu mbovu sana, Yanga wasiwe na presha

Nilibahatika kuona mechi zote mbili za RC belouizdad na Al ahly ni Mechi za michongo
Mechi za mikakati
Sio kwamba belouizdad wana timu nzuri kivile

Even ile mechi yao na yanga ni mistake ya yanga tu ambayo walitumia kwenda kushambuliwa wachezaji wengi na kuacha wachezaji wengi wa chache nyuma wakawa wanatumia fursa izo kufanya conter attack pia yanga walishindwa kutumia nafasi zao nyingi ambazo walipata ila Hawa waarabu ni wabovu saana ukiwashambulia vizuri tu huwezi kukosa bao tatu mpaka 5 Kama una wachezaji ambao wanajua kutumia nafasi vizuri

Pia sioni wakiwafunga mediama kule kwao labda kwa figisu zao
Wewwewe tema mate chini. Ule mpira wanaopiga hao jamaa hapa tz hakuna timu ya kujiamini 💯%
 
Wewwewe tema mate chini. Ule mpira wanaopiga hao jamaa hapa tz hakuna timu ya kujiamini 💯%
Mpira ni kujipanga timu kwa approach sahihi na kuzitumia nafasi. Huo huo mpira unaousifia hao Belouizdad ila kwa Medeama walifungwa goli mbili. Yanga wakichanga karata zao vizuri wanawafunga vizuri tu. Tukumbuke kuwa Yanga alistahili kuondoka na ushindi kule Ghana ila walinyimwa goli la halali kabisa wakati Belouizdad kachapika huko. Mbinu sahihi na kutumia nafasi ndilo la umuhimu.
 
Mpira ni kujipanga timu kwa approach sahihi na kuzitumia nafasi. Huo huo mpira unaousifia hao Belouizdad ila kwa Medeama walifungwa goli mbili. Yanga wakichanga karata zao vizuri wanawafunga vizuri tu. Tukumbuke kuwa Yanga alistahili kuondoka na ushindi kule Ghana ila walinyimwa goli la halali kabisa wakati Belouizdad kachapika huko. Mbinu sahihi na kutumia nafasi ndilo la umuhimu.
Nimeongea baadae kidogo ya kuangalia mechi yao juzi
 
Nimeongea baadae kidogo ya kuangalia mechi yao juzi
Kumbe umeanza kuwafatilia juzi tu? Anza kuwafuatilia tokea nyuma ili uwajue vizuri. Hata Yanga ukiangalia walivyowachakaza Medeama hao Belouizdad lazima watakuja kwa tahadhari sababu ataona timu imebadilika.

Jambo la mwisho ni kwamba tokea Belouizdad wacheze na Yanga, hakuna mechi yoyote walioshinda. Huku Yanga baada ya kucheza Belouizdad hakuna mechi waliofungwa na wameshinda mchezo mmoja na kama waamuzi wangekuwa makini au kungekuwa na V.A.R basi Yanga wangekuwa wameshinda michezo miwili hadi sasa.
 
Nilibahatika kuona mechi zote mbili za RC belouizdad na Al ahly ni Mechi za michongo
Mechi za mikakati
Sio kwamba belouizdad wana timu nzuri kivile

Even ile mechi yao na yanga ni mistake ya yanga tu ambayo walitumia kwenda kushambuliwa wachezaji wengi na kuacha wachezaji wengi wa chache nyuma wakawa wanatumia fursa izo kufanya conter attack pia yanga walishindwa kutumia nafasi zao nyingi ambazo walipata ila Hawa waarabu ni wabovu saana ukiwashambulia vizuri tu huwezi kukosa bao tatu mpaka 5 Kama una wachezaji ambao wanajua kutumia nafasi vizuri

Pia sioni wakiwafunga mediama kule kwao labda kwa figisu zao

Umeona mechi za Ahly Vs Belouizdad na kuona za mkakati na mchongo lakini uneshindwa kuona Mechi ya Yanga Vs Belouizdad? [emoji3][emoji3]
 
Kuna mashabiki mapumbavu ya SIMBA utayasikia yanga atapigwa nyingi au kijitahidi atapata sare kwa mkapa kana kwamba yanga haijui kucheza na hawana chochote na wanashika mkia ligi ya EPL Wala Caf champions league, huwa mapumbavu sana ilimradi tuu yanaponda bila facts.
Facts ni UTO kafa 3 bila mechi ya kwanza.
 
Nilibahatika kuona mechi zote mbili za RC belouizdad na Al ahly ni Mechi za michongo
Mechi za mikakati
Sio kwamba belouizdad wana timu nzuri kivile

Even ile mechi yao na yanga ni mistake ya yanga tu ambayo walitumia kwenda kushambuliwa wachezaji wengi na kuacha wachezaji wengi wa chache nyuma wakawa wanatumia fursa izo kufanya conter attack pia yanga walishindwa kutumia nafasi zao nyingi ambazo walipata ila Hawa waarabu ni wabovu saana ukiwashambulia vizuri tu huwezi kukosa bao tatu mpaka 5 Kama una wachezaji ambao wanajua kutumia nafasi vizuri

Pia sioni wakiwafunga mediama kule kwao labda kwa figisu zao
Labda wewe ndio una press
Wenyewe hiyo mechi hata hawazungumzii
Kinachowaumiza vichwa ni namna gani watapata sare na Al Ahly
 
Back
Top Bottom