Kaoge maji ya bahari..!Naachaje kuwa na wivu kikongwe mwenzangu kabebwa na kijana mhendsam mimi hata wazee wenzangu wananikimbia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaaa hatari kuna mtu ungeniletea nahisi kama mtamu mtamu hivi ....ah wap...ninacheka nimeπ»β..alafu natafta mtu wa kuja naye ...nisombe..alipeπ!
Saint Ivuga
Hahahaaaaa hatari kuna mtu ungeniletea nahisi kama mtamu mtamu hivi ....
ππ½ββοΈππ½ββοΈakili za usiku
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kaoge maji ya bahari..!
When you were 20s ulidhani saa imesimama...[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Bibi harusi(japo hatujapishana saaana) + comments [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mama nakufa leoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1024435
yule mr nanihiii πππππππninong'onedhe bas...nan hyo
πππ...yule...jaman yuleeeeee!hahaa haoni shida kutoa 500kππyule mr nanihiii ππππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wacha nizisave kwa matumizi ya baadae[emoji23][emoji23][emoji23]ninacheka mno na mm
mlete basi si unajua power of a woman ππππππ...yule...jaman yuleeeeee!hahaa haoni shida kutoa 500kππ
Mmmnh..labda power of p, hehemlete basi si unajua power of a woman [emoji108][emoji108][emoji108]
Utavishwa kijora shaurilo.
Hahahaha...watu mnavituko mtatuua kwa cheko aisee.Kaka pole sana![emoji12][emoji12][emoji12] View attachment 1024443
πππππnitamleta aiseemlete basi si unajua power of a woman πππ
Saa 5:39 usiku napitia uzi huu, nimecheka hadi mama watoto kashtuka nakuja sebureni kuangalia kuna nini....nimemwambia ni kBen Kinyaiya kaoa "mreeeeeeeembo"Kweli nimeamini utamu wa pipi ni mate yako mwenyewe!!!
Kipendacho roho hula nyama mbichi
Kitanda usicholalia, hujui kunguni wake!
Adhabu ya kaburi, aijuae maiti
Siri ya mtungi, aijuae kata!
Lakini yote tisa, kumi ni "Pilipili usiyoila, yakuwashia nini!"
πππππππππππππππSaa 5:39 usiku napitia uzi huu, nimecheka hadi mama watoto kashtuka nakuja sebureni kuangalia kuna nini....nimemwambia ni kBen Kinyaiya kaoa "mreeeeeeeembo"
Khaaaaa [emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]???[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]We cheki kifua chief,..joni bravo kabisaa..hii movie ya ngumi bwanaa