Mkuu kweli picha ukiangalia vizuri kaweka nguo kifuani hazijakaa vizuriJmn huyo sio dume kweli??? maana hata kifuani panaonekana tu kunamanguo yamewekwa huyo dume bwana mwangalien vzuri
Kweli nimeamini utamu wa pipi ni mate yako mwenyewe!!!
Kipendacho roho hula nyama mbichi
Kitanda usicholalia, hujui kunguni wake!
Adhabu ya kaburi, aijuae maiti
Siri ya mtungi, aijuae kata!
Lakini yote tisa, kumi ni "Pilipili usiyoila, yakuwashia nini!"
Yani gauni sijui nani alimchagulia,natamani nione kiatu alichovaaMh hiyo gauni ya bi harusi ni hapana kwakweli. Pengine ni muvi
Be Humble is free of charge [emoji873]
kwa nini
Baada ya kuangalia vizuri bibi harusi nikaelewa mana yako[emoji23][emoji23][emoji23]Kweli nimeamini utamu wa pipi ni mate yako mwenyewe!!!
Kipendacho roho hula nyama mbichi
Kitanda usicholalia, hujui kunguni wake!
Adhabu ya kaburi, aijuae maiti
Siri ya mtungi, aijuae kata!
Lakini yote tisa, kumi ni "Pilipili usiyoila, yakuwashia nini!"
[emoji3][emoji3]Yani gauni sijui nani alimchagulia,natamani nione kiatu alichovaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah imebidi nicheke tu maana ndio wazo limenijia kichwaniKweli nimeamini utamu wa pipi ni mate yako mwenyewe!!!
Kipendacho roho hula nyama mbichi
Kitanda usicholalia, hujui kunguni wake!
Adhabu ya kaburi, aijuae maiti
Siri ya mtungi, aijuae kata!
Lakini yote tisa, kumi ni "Pilipili usiyoila, yakuwashia nini!"