BEN KINYAIYA: Thats too much Bro

binadamu hatuishi maneno, kwa mfano kwa sasa wengi wetu tunambeza 'Nassib Abdul' kwa kumwita 'domo' na majina mengi ya ajabu, ambayo asilimia kubwa ni kuhusu mdomo wake ..........leo akiamua kufanya mbwembwe ili kuweka mdomo sawa , najua bado tutamsema vibaya tu!
 
seriously jamaa anaboa sn dah! thn hata anavyohost bc 2 much madoido mpk anaover act ss! m2 aliyekarib nae amchane tu ukweli! mi naona hamna anachokifanya zaid ya makelele 2
 
Nasikia ni mchagga huyu dogo,wachagga wenzie pale Tabata dampo wamekomaa sura yeye analainisha sura!
 
Haaa... Too much of everything Id always bad.
 
Asijekuwa chakula ya watu maana duh unajua ukiwa namtoto wa kiume halafu mambo yake ndiyo kama vile kwakweli haipendezi kabisa
 
Huyu jamaa hata mimi huwa simuelewi kabisa.
 

Ukishakua unajulikanwa na watu haimaanishi kwamba wooote watakuzimikia na kuanza kukusfia, unapaswa kuwa tayari kupokea sifa na pia majungu..sasa km ww utaitwa domo ukalifanyie marekebisho kesho utaitwa pua ukalifanyie marekebisho pia? Hio sura yako si itafanana na paka!! Hupaswi kujibadili jinsi ulivyo no matter wat! Unajiweka mtanashat imetosha tena dume makeup hadi za macho!!

Mh nijipitie zangu mm....
 
Yaani huyu jamaa ni km hajitambui maana hatakuja atosheke ss too much na ni kuboa tu kila kunapokucha
 
Duh! nimekumbuka kipindi sister amefulia, ili ku-maintain yake ya kuwa mrembo akawa anapiga vipodozi vya mdogo wetu na kuvificha! Sipati picha cku Ben nae anafulia huku akitaka ku-maintain status yake. Ile anatokeza tu mitaa ya kwao kwenda kusalimia, dada zake mshike mshike..."we nanii, ficha poda yangu uvunguni Kaka Ben huyoo anakuja!"....mwingine huyu hapa "jamani mi naoga naombeni nifichieni wanja wangu nimeuacha juu hapo!"

Taabu sana hii...mwanaume hatakiwi kuhangaika na urembo bhana, anatakiwa kuhangaika na u-smart.
 
Anawaibisha wanaume mi zamani nilijuaga demu,,akipita humu itakua vizuri halaf Maimartha Jesse ndio hua anampodoaa huyu Ben
 
Alaa! kumbe hamjui kuwa Ben na Harris ni mashoga kitamboo!
huyu jamaa alikobolewa sana dom kipindi yupo shule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…