Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,828
binadamu hatuishi maneno, kwa mfano kwa sasa wengi wetu tunambeza 'Nassib Abdul' kwa kumwita 'domo' na majina mengi ya ajabu, ambayo asilimia kubwa ni kuhusu mdomo wake ..........leo akiamua kufanya mbwembwe ili kuweka mdomo sawa , najua bado tutamsema vibaya tu!