Abunwasi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,486
- 3,473
Unajua kuna wanaume ambao wanakua na hormoni za kike nyingi kuliko kawaida[na wanawake pia] aina ya watu hawa ingawa ni rijali lakini wanakua na vitabia vya kike[kwa wanawake wanakuwa na tabia za kiume] kwa yeyote anayejitambua na kutaka tiba zipo.