ZionTZ
JF-Expert Member
- Oct 6, 2009
- 1,283
- 541
Omw....what if kama huyu mtu si shoga kama mnavomsema jamani?? He must be hurt badly...uyu kiumbe keshawai hojiwa na kukana jambo hili, na hatujawai sikia hata hao mabwana zake! Kututhibitishia!! Tuache kujudge watu kwa mambo ya kusikia jamani!:.
....
wengi ni marehemu...lolz!