teac kapex
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 470
- 137
Ada ni kama shule nyingine za serikali ambayo ni sawa na hela ya kukodi tax toka kariakoo hadi buguruni (sh 20000). Combi almost zote zipo kasoro cbn, pgm,etc.
- shule ni kama chuo hakuna wa kukufuatilia ni wewe na maisha yako.
- Div one zipo pia zero hazikosekanagi miaka yote.
- kuingia shule muda wowote ila kutoka saa 8:40 mchana.
- warembo wengi sana.
Unakaribishwa.
NB: Kufaulu hakutegemei shule, ni juhudi za mwanafunzi husika.