Ben Mkapa mwamba wa lugha ya Kiingereza

Ben Mkapa mwamba wa lugha ya Kiingereza

GUSSIE

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2014
Posts
3,880
Reaction score
11,134
Wanabodi,

Kuna mapengo hayazibiki mfano la mwimbaji na mtunzi nguli Captain John komba ndani ya ccm kwa nyimbo zake na tunzi ndivyo kwenye lugha ya kiingereza hasa kwa watanzania Ben Mkapa alikuwa mwamba wa lugha ya kiingereza kimataifa
Kama kuna kitu ambacho alikuwa nacho au kipaji au uwezo wa lugha ya kiingereza basi Ben Mkapa atakumbukwa sana

Ben alikuwa mwamba wa English,Ben akiwa kijana akiongea kiingereza ulikuwa huwezi fikiria kuwa huyu mtu anatoka Africa au amezaliwa Africa

Ben Mkapa aliwafanya wazungu wajifunze kwake lugha ya kiingereza

Hata umri ulipomtupa mkono Ben Mkapa alibaki na misingi ya lugha ya kiingereza

Ben akiongea kiingereza hata Mwalimu Nyerere alitikisa kichwa kukubali Ben ni mwamba

Tangulia kwa amani Ben Mkapa hakika hotuba zako umoja wa Africa na umoja wa mataifa zitabaki kumbukumbu
 
Duh Mpaka lugha ya Malkia ilikuwa imelala na kuamkia kwake tangulia Baba usisahahu kumpelekea salamu zetu Baba wa Taifa JK wa ukweli
 
Je yule wa corupsheni is a cansa kwani alisomea wapi...mara inteprenuuaaaa.....hiiiiiii!!
Ha ha ha. Ben alikuwa na shahada bachelor ya kiingereza toka Makerere University. Mwamba ni mzamivu katika eneo lake la umahiri ila mh kazi imo!
 
Yupo vizuri upstairs, hata hotuba zake kwenye hadhara alikuwa ana-flow tu kutoka kichwani bila kusoma popote na mwanzo mwisho anaongea mantinki tupu, alikuwa hapendi kuchomeka chomeka utani na mizaha mizaha kama bwana nanihiii....
 
Yupo vizuri upstairs, hata hotuba zake kwenye hadhara alikuwa ana-flow tu kutoka kichwani bila kusoma popote na mwanzo mwisho anaongea mantinki tupu, alikuwa hapendi kuchomeka chomeka utani na mizaha mizaha kama bwana nanihiii....
Hotuba zake hajawahi kutoa kichwani

Japo sipingani na mada
 
Hotuba zake hajawahi kutoa kichwani

Japo sipingani na mada

Kwani kuna tofauti gani kati ya Mtu kutoa Hotuba yake Kichwani au akiandika? Kuna Watu ni ' Doltish ' kweli kweli hadi mnaboa tu kwa Hoja zenu.
 
Alikua vizuri hata hotuba zake unasikiliza kweli Rais anahutubia haleti mzaha wala kuchomekea vitu vya utani utani
 
Degree yake ya kwanza Makerere University ni ya kiingereza. Hakuna cha ajabu. Ingekuwa ajabu kama asingejua kiingereza Kama wengi wa wahitimu wetu wa siku hizi vyuo vikuu wanaosomea lugha. Wanapata vyeti na GPA kubwa lakini vichwani ni sifuri.
 
Back
Top Bottom