Ben Paul agombana na mwandishi wa EATV, baada ya kubanwa kuhusu habari za 'shemeji'

Hapo ndipo ninapompendea Ben Pol. Watu hatujamfahamu kwa sababu ya familia Bali tumemfahamu kupitia muziki. Familia yake ni mambo yake binafsi.

Kuna waandishi wanakera, anakuuliza mambo ambayo ni personal anasingizia mashabiki.
 
Hapo ndipo ninapompendea Ben Pol. Watu hatujamfahamu kwa sababu ya familia Bali tumemfahamu kupitia muziki. Familia yake ni mambo yake binafsi.

Kuna waandishi wanakera, anakuuliza mambo ambayo ni personal anasingizia mashabiki.
umesahau huyu huyu alifunguka sana maswala ya familia baada ya kupiga denda na snura?
 
EATV huwa wanauliza maswali ya kijinga sana hasa ya familia na ya kugombanisha wasanii
 
Mbona alivyopiga denda na snura fiesta kila akitafutwa alikuwa anafunguka na kuelezea mkewe alijisikiaje! Na wengine walimtafuta na mke wake wakawa wanamhoji kuhusu hizo issue kama wanaishije!
Kwanini hakupanic?
Leo ndio hataki kuhojiwa!
bora mzee umeongea ww maana naona kuna vtto vingne vnaropoka tu umu cjui madale cjui nn wkt uyo benpol mwenyew ni kick master....sema hakua kwny mood tu ya masuala ya familiaa ila sio kwmb ana uprivacy wwte
 
Kwa hiyo uelewa huyu mwanahabari una hitilafu au nini? Yaani mtu kaweka wazi hajisikii huru kuongelea mambo ya familia yeye ndio kama anachochewa kuyauliza. Watu hawana nidhamu kwa taaluma zao.
 
Hakuna kitu kama hataki kiki,umei-define vibaya io kitu ya kuitwa "kiki." nawaza tu!!
 
Hahahahahaaaaa Ben kaniacha hoi sana.
Ila ana point.
 
Ndio sample ya maandishi ya habari ya hapa kwetu......ndio maana wametungiwa sheria yakuwabana
 
ndio nimeamini huyu jamaa anakula sembe(unga)
 
Mkuu unadhani usingemweka Diamond kwenye huo Uzi wako usingepata kiki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…