Freelancer Wakala
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 1,193
- 828
Hahahaha dah hii sumu ni ipi ? ya nyongo ya mamba ama ?Wanaume wa Dar hadi ndevu mnazijadili?
Hahahaha dah hii sumu ni ipi ? ya nyongo ya mamba ama ?
Ngoja na mie nikatinde nywele saluni, uje unianzishie uzi.Ben Pol anyoa ndevu,kisa kuhofia kuitwa Al-qaeda nchini marekani.
Unazungumziaje mwonekano wake wa sasa?
Chanzo.East Africa.
Hahah oh kumbe koboko nilijua ni ya Inland Taipan aisee ,Ha ha ha ha!
Hii ni ya nyoka aina ya Koboko mkuu.
Mnawasema sana wanaume wa Dar. Huenda mtoa mada ni wa huko Kaishozi....!!!Ndiyo hayo mambo ya wanaume wa Dasalam mpk chunusi kwao discussion