Wanaume WA darr kazini
Mbn huyo mleta uzi ni wa arachuga miksa kwanguleloWanaume wa Dar wanaenda kuiharibu JF
Mlete hapa mwanamme wa huko kwenu unyanini, aliepambana na majambazi, hata kwa kusaidiwa na wenzie.kuna mwanamke mmoja tarime alipambana na majambazi pekee yake, sina uhakika kama wanaume wa dar wanaliweza hili.
Bila bila midume ya Dar, kubishana juu ya Gadna nyie wanaume wa majimoto mungemjua.Wanaume wa Dar wanabishana Gadna kurudi Clouds.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Wanaume wa Dar hadi ndevu mnazijadili?
Hahaaa ndio Vijana haoKwaiyo umekaa kabsa nyuma ya keyboard (au sijuwi ni kitecno) na kutumia muda wako kuandika siredi kuhusu ndevu za uyo Bena Poll ? Kwanza ndo nani uyo?
Ama kweli 'wanaume wa Dar Slum' mna matatizo, sio bure aisee. Huwa sishangai napoona mwanaume wa Dar anajadili DNA ya mtoto wa Diamond.
Hovyo kabsaaa!
Mwanaume wa dar ndevu kazianzishia thread .Ndiyo hayo mambo ya wanaume wa Dasalam mpk chunusi kwao discussion
Askari wa dar wenyewe wananyanganywa bunduki.. Hujasikia? Hata juzi dodoma kuna askari alitoka dar akahamishiwa dodoma wajanja wakabeba bundukikuna mwanamke mmoja tarime alipambana na majambazi pekee yake, sina uhakika kama wanaume wa dar wanaliweza hili.
Hapa nawe mbona umepoteza muda ku coment mada dhaifu.Kwaiyo umekaa kabsa nyuma ya keyboard (au sijuwi ni kitecno) na kutumia muda wako kuandika siredi kuhusu ndevu za uyo Bena Poll ? Kwanza ndo nani uyo?
Ama kweli 'wanaume wa Dar Slum' mna matatizo, sio bure aisee. Huwa sishangai napoona mwanaume wa Dar anajadili DNA ya mtoto wa Diamond.
Hovyo kabsaaa!
Hizi dharau hizi ......!!!!!!!!!!!!kuna mwanamke mmoja tarime alipambana na majambazi pekee yake, sina uhakika kama wanaume wa dar wanaliweza hili.