Ummayed
JF-Expert Member
- May 21, 2019
- 6,155
- 2,580
Mo dewji anakimbilia 2 billions mkuu.
Japokuwa hajafikia..
Halafu kina Mo dewji na Bakhresa wale utajiri walio nao ni wa Africa tuu mkuu bado wa India na huko uarabuni wamewekeza pia.
Kwahyo usidhan 1Bil $ ya mo ni utajir wake mzima asee bado india huko kawekeza na. Uarabuni halkadhalika Bakhresa.
Mfano manji watu wanadhani ana quality center tyu peke ake kumbe ana 129 companies in approximately 29 nations mkuu.
Hiyo sio chai ingia mtandaoni watakupa majibu.
Kingine Anerlisa anachukua hela kwa ksh ambayo ina thamani kutuzid harmonize kwa tsh nadhani hapo umepata jibu
Japokuwa hajafikia..
Halafu kina Mo dewji na Bakhresa wale utajiri walio nao ni wa Africa tuu mkuu bado wa India na huko uarabuni wamewekeza pia.
Kwahyo usidhan 1Bil $ ya mo ni utajir wake mzima asee bado india huko kawekeza na. Uarabuni halkadhalika Bakhresa.
Mfano manji watu wanadhani ana quality center tyu peke ake kumbe ana 129 companies in approximately 29 nations mkuu.
Hiyo sio chai ingia mtandaoni watakupa majibu.
Kingine Anerlisa anachukua hela kwa ksh ambayo ina thamani kutuzid harmonize kwa tsh nadhani hapo umepata jibu
Chief,mbona hii chai kama ya moto sana..!
Inamaana huyo manzi anakula sahani moja na Mo Dewji..!?
Utajiri wa Bakhresa ni chamtoto tu kwa huyo manzi..!?