Me I and my self
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,077
- 8,828
Yaani mbovu kama kokorombovu
Huyu jamaa karud na style zakitambo sana hii nyimbo hàijafanya vizurkuna brand new ya sam wa ukweli inaitwa kisiki...ikooo vzr
Am sorry to say this. Wenzetu hawako hivyo, kama wote wanauwezo watakua juu tu na sio lazima mmoja amtoe mwingine kwenyd chart.Ninawasiwasi huyu mr. Eazi atamtoa Tekno kwenye chati maana nyimbo zake tamu balaa pia zinapigwa TV mbalimbali , namkubali sana na style yake ya kuweka kofia mgongoni
Haina haja ya sory brother ni kuelimishana tuAm sorry to say this. Wenzetu hawako hivyo, kama wote wanauwezo watakua juu tu na sio lazima mmoja amtoe mwingine kwenyd chart.
msanii wa nigeria sema makazi yke yalikuwa ghana yupo chini ya lebel ya "starboy worldwide" inayomilikwa na wiz kidhuyo Mr eaz n nani
ycee ndo kaimba omo alhaji sio kceemi pia nmeona kama ya kawaida aisee, atleast mr. eazi kaimba vzur kidogo na beat kama wamesample ya KCEE Omo alhaji
shukrani mkuu kwa kumbukumbuycee ndo kaimba omo alhaji sio kcee
anhaaa...basi sawamsanii wa nigeria sema makazi yke yalikuwa ghana yupo chini ya lebel ya "starboy worldwide" inayomilikwa na wiz kid
Mr eazy "life is eazy"
Tupe link tuifuate...
Au LupelaYaani mbovu kama kokoro