Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
Kapangiwe na wewe kama unaona inakufaaKama hujui kaa kimya
Wivu na majungu vinachangiasawa katibu muhtasi wa ben paul.
tatizo la wabongo mnaendekeza kukariri kuwa kila mwenyewe uhusiano na mwanamke mwenye kipato kikubwa basi analelewa.
| Kudanga kunalipa!!!.. | ||||||
asante umemnyoosha paka huyuK
Kadange na wewe.... takataka mkubwa
Pierre Liquid KonkMy dream was to marry Michael Jackson now he is dead, who will I marry?
AiseeeeK
Kadange na wewe.... takataka mkubwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] imagineThat will be dream forever, jus woke up let's marry on Saturday
Are you in?
Mzuri Sana! Big up Ben pol!Naam chura ipo,si haba
Nani anaeoa katika hao wawili?Msanii wa Bongo fleva Ben Pol amemchumbia binti wa kitajiri wa Kenya Anerlisa Muigai na anatarajia kufunga ndoa hivi karibuni taratibu za awali Tayari zimeshaanza
Kuhakikisha Hilo Ben Pol amehama uswahili na amepangiwa Nyumba nzuri Mbezi Beach maana familia ya binti inatarajiwa kuja Tanzania hivi karibuni.
It
Anerlisa ambae Ni CEO wa kiwanda Cha maji huku mama Tabitha Kiranja Bilionea namba 4 kwa wanawake nchini Kenya akiwa CEO wa kiwanda Cha Bia.
Ben Pol anatarajia kufanya shughuli zake za mziki Muda mwingi akiwa Kenya Baada ya ndoa
View attachment 1080784
Wakikuyu wanaleta POSA ukweni.Wagogo Hoyee
Tulipokwama Sasa Tumepajua
ππππππ€£π