Ben Pol kufunga ndoa hivi karibuni na Anerlisa

Ben Pol kufunga ndoa hivi karibuni na Anerlisa

Msanii wa Bongo fleva Ben Pol amemchumbia binti wa kitajiri wa Kenya Anerlisa Muigai na anatarajia kufunga ndoa hivi karibuni taratibu za awali Tayari zimeshaanza

Kuhakikisha Hilo Ben Pol amehama uswahili na amepangiwa Nyumba nzuri Mbezi Beach maana familia ya binti inatarajiwa kuja Tanzania hivi karibuni.
It
Anerlisa ambae Ni CEO wa kiwanda Cha maji huku mama Tabitha Kiranja Bilionea namba 4 kwa wanawake nchini Kenya akiwa CEO wa kiwanda Cha Bia.

Ben Pol anatarajia kufanya shughuli zake za mziki Muda mwingi akiwa Kenya Baada ya ndoa

View attachment 1080784
Na huyo mama Tabitha Kiranja bilionea uliye mchomekea hapo ni nani kwa Ben Paulo?
 
Msanii wa Bongo fleva Ben Pol amemchumbia binti wa kitajiri wa Kenya Anerlisa Muigai na anatarajia kufunga ndoa hivi karibuni taratibu za awali Tayari zimeshaanza

Kuhakikisha Hilo Ben Pol amehama uswahili na amepangiwa Nyumba nzuri Mbezi Beach maana familia ya binti inatarajiwa kuja Tanzania hivi karibuni.
It
Anerlisa ambae Ni CEO wa kiwanda Cha maji huku mama Tabitha Kiranja Bilionea namba 4 kwa wanawake nchini Kenya akiwa CEO wa kiwanda Cha Bia.

Ben Pol anatarajia kufanya shughuli zake za mziki Muda mwingi akiwa Kenya Baada ya ndoa

View attachment 1080784
Kwa maana hiyo Ben pol kaolewa kama nimeyaelewa vizuri maelezo yako
 
Msanii wa Bongo fleva Ben Pol amemchumbia binti wa kitajiri wa Kenya Anerlisa Muigai na anatarajia kufunga ndoa hivi karibuni taratibu za awali Tayari zimeshaanza

Kuhakikisha Hilo Ben Pol amehama uswahili na amepangiwa Nyumba nzuri Mbezi Beach maana familia ya binti inatarajiwa kuja Tanzania hivi karibuni.
It
Anerlisa ambae Ni CEO wa kiwanda Cha maji huku mama Tabitha Kiranja Bilionea namba 4 kwa wanawake nchini Kenya akiwa CEO wa kiwanda Cha Bia.

Ben Pol anatarajia kufanya shughuli zake za mziki Muda mwingi akiwa Kenya Baada ya ndoa

View attachment 1080784

jamaa ni mari 0 sana hanapenda maisha ya rahaa sana,hata demu wa kwanza alikuwa na vijipesa sema mademu wanashobokea wasanii sijui kwa nini.baada ya pesa kuisha kasepa na huyu mkenya asipo angalia yatamkuta
 
[emoji3061]
IMG-20200418-WA0011_1587931128685.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mapenzi hayachagui tajiri au masikini, cha msingi uwe na gogo 🍆 na ujue kulitumia.
 
Back
Top Bottom