Ben Pol: Nilichokilenga kimefanikiwa

Bado hujaeleweka kijana hit the target. Ben pol anataka kueleza nn hicho ndicho kinachotufanya tujiulize maswali. Kuvua nguo na kujipaka mafuta what does he intended. Logic ni nn hapo. Hatumuelewi anataka tupate meseji gani?
 
Bado hujaeleweka kijana hit the target. Ben pol anataka kueleza nn hicho ndicho kinachotufanya tujiulize maswali. Kuvua nguo na kujipaka mafuta what does he intended. Logic ni nn hapo. Hatumuelewi anataka tupate meseji gani?
Mkuu hakujipaka hiyo samli mwenyewe bali kapakwa,na shida kubwa ni nani aliempaka? Au ni mtoa uzi?
 
Huyu jamaa anaonekana kuja na biashara mpya ambayo ni ushoga .
Ben Paul ukowapi tuambie aliyekupaka mafuta kwenye makalio ili tumuulize lengo lake lilikuwa nn na pia tunataka kujua kama hajakudhuru ama amekudhuru kwa kiasi kiasi gani .
Ben po ww tuambie men usione soo maana umeonesha kuuzoea huo mchezo.
 
Ni kwel picha ilikua na tafsir kubwa lakn kumbuka lengo la kutoa zile picha alizingatuliza kusafisha njia ya wimbo ili kutengeneza mazingira,,,,then connect wimbo na picha hakuna uhusiano,,,,,,muzik ngum this time labda anatafuta mbadala
lakini wengi hawakumuelewa
 
well said
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…