Noma sanaHhhahahahah[emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
YoooohNdo maana nampenda alikiba, hanaga mambo yakiboya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo mkuu una seti yako ya sketi kwenye kabati......otherwise you are not real man!!
Teh nilijua watu kama ninyi mtakuja tu nikiandika kuhusu kingYooooh
Nendaga Ramada Hotels siku za weekend ndo utawaona Wasanii wakidanga pale kuvizia madangaLete ushahidi mkuu, umeniacha njia panda
Huu uskochi kwa huku kwetu da... Ila huyu jamaa naona kuna namnaUskochi huku kwetu haufai kabisa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] homophobia ni hatari Sana sijui nn kimemkuta huyu jamaa kama vile hajakulia tz bhana, sipati picha alikuwa anajihisi vipi ndani ya hilo vazi au alifanya mazoezi ya kulizoea maana[emoji777] [emoji777] big nooooAlafu ukimuomba mtandao pendwa nae atakupeleka mahakamani
kupatwa kwa jinsia ya kike[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] homophobia ni hatari Sana sijui nn kimemkuta huyu jamaa kama vile hajakulia tz bhana, sipati picha alikuwa anajihisi vipi ndani ya hilo vazi au alifanya mazoezi ya kulizoea maana[emoji777] [emoji777] big noooo
kiume sorrykupatwa kwa jinsia ya kike
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu nae tushampoteza....
Ipo siku mtasapoti ushoga kwa kigezo cha utamaduni wa ulaya na marekani...View attachment 411825 View attachment 411827 View attachment 411834
Mkuu dochivele hiyo ni "Scotland highland dress"
Ni mavazi ya kitamaduni ya wanaume wa Scotland,ni kama Maasai na mashuka,au Wahehe na mgolole,au Wahaya na kanzu na bagalashia,au wazee wa pwani na msuli na kanzu!!
Na ipo siku watasema real men amashiriki ushoga,,,,,Realy men wear skirts.....?aah wapi,,,,,, mambo mengine hayafai kuigwa.....hizo tamaduni zingine tuwaachiage wenyewe
Mbona vijana tunakua malimbukeni sana na haya mambo
Ukiona mzungu anaukalia nawewe utataka kuukalia,,????Akivaa mzungu fresh akivaa mswahili shida.....
Japokuwa huo sio utamaduni wetu,
Ben hata ungevaa shuka la kimasai bado wangesema umevaa kanga..
Binadamu ndo tilivyo
Hata ukichezea maji watasema unawatimulia vumbi