ben pol ana tuzo 1(mwimbaj bora wa rnb)
diamond ana tuzo 6 za kirimanjaro pekee..n juz alipewa tuzo nyingine nchin kenya kma mwimbaj bora wa kiume (nzumari awards).diamond kwa wimbo uliomtoa tu(mbagala) akapata nafas ya kushindania tuzo kubwa dunian za MTV(ukimtoa Ay anafanya hip hop hakuna mwana bongo fleva aliyewahi ) diamond ndiye msanii anayejaza watu wengi kwenye showz kuliko msanii yeyote(kumbuka alifanya show ya peke yake kiingirio kikiwa ni 50000 na watu wakajaa,nani mwenye ubavu huo?
mpka hapo ushajua mkari ni nani tanzania na c ben pol tu