irene charles
Member
- Jan 28, 2013
- 5
- 0
Eti kat ya diamond na ben pol nan mkal nisaidien hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Kiingirio"
No one like diamond!!!!
Mbona hawaendani hao.Fanya choice nyingine
mleta mada hajui categories za mzikiwanafanya stail tofaut kabsa,kwa hapo umebugi,.
BEN POL ANASTAHL KUSHNDANISHWA NA AKINA RAMA DEE,STEVE RnB..
wanafanya stail tofaut kabsa,kwa hapo umebugi,.
BEN POL ANASTAHL KUSHNDANISHWA NA AKINA RAMA DEE,STEVE RnB..
ben pol ana tuzo 1(mwimbaj bora wa rnb)
diamond ana tuzo 6 za kirimanjaro pekee..n juz alipewa tuzo nyingine nchin kenya kma mwimbaj bora wa kiume (nzumari awards).diamond kwa wimbo uliomtoa tu(mbagala) akapata nafas ya kushindania tuzo kubwa dunian za MTV(ukimtoa Ay anafanya hip hop hakuna mwana bongo fleva aliyewahi ) diamond ndiye msanii anayejaza watu wengi kwenye showz kuliko msanii yeyote(kumbuka alifanya show ya peke yake kiingirio kikiwa ni 50000 na watu wakajaa,nani mwenye ubavu huo?
mpka hapo ushajua mkari ni nani tanzania na c ben pol tu
H.O.D katika ibora wake