hahahaha...shenztype... wakenya tunawapiga double double. sio kwenye kasi ya development tu, bali mpaka kwenye kasi ya kudate na dada zao. [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]Hahahaha, watanzania ni vidume wa EA, tutaendelea kuwalamba dada zenu, ninyi hamna uwezo wa kuwaoa watanzania, mtabaki kula kwa macho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila nchi ina watu walio na pesa. Utakua mjinga kufurahia mtu kusema kuna watu nchi yako walio na pesa. Kweli Wabongo fikra zenu ni finyu.Bora leo umekiri kwa kinywa chako kuwa watanzania wana pesa. Mda si mrefu kila kinywa cha mkenya kitakiri hivyo
Dhaifu sana nyie wakenya hasa kwenye mapenzi ndo maana mnachezea sana vichapo kwa wanawake zenuWewe kila siku mimi hukwambia una uwezo kidogo sana wa kufikiria na husikii.
Wazungu wanaokuja Kenya na Afrika kuoa ni wale wenye hadhi ya chini zaidi Uzunguni maanake society yao imeendelea zaidi na ina pato zaidi ya zetu. Wale wanaume wasio na uwezo wa kupata binti mrembo huko ndio wataokuja Africa na kujishindia mabinti warembo zaidi. Hutampata David Beckham ama Cristiano Ronaldo akija Tanzania ama Kenya kutafuta binti bali utapata kile kijizee ama kijana asiye na hadhi kule akija huku. Ukiona society yenu wanaume walio na uwezo wa kifedha zaidi wakitafuta mademu nje jua bado socially mko chini zaidi. Wakenya wengi tu wameoa Tanzania ile sio wale Wakenya walio na hadhi ya juu kwenye jamii.
Pumbavu mkubwa wewe, hivi Ali Kiba au Ben Paul ana uwezo gani zaidi ya kuwa maarufu?. Uliza kama Christian Rolnado au hao Celebs wengine wengi kama wameoa wanawake toka nchi zao. Huna unalojua zaidi ya kupiga domo, ukweli ni kwamba Tanzania ni vidume katika EA, ninyi wengine ni majike, ni kama lion kingdom porini, dume ni moja linazungukwe na majike mengi, wote huzalishwa na dume moja. Tanzania tumewazalisha Kenya, Uganda, na Rwanda.Wewe kila siku mimi hukwambia una uwezo kidogo sana wa kufikiria na husikii.
Wazungu wanaokuja Kenya na Afrika kuoa ni wale wenye hadhi ya chini zaidi Uzunguni maanake society yao imeendelea zaidi na ina pato zaidi ya zetu. Wale wanaume wasio na uwezo wa kupata binti mrembo huko ndio wataokuja Africa na kujishindia mabinti warembo zaidi. Hutampata David Beckham ama Cristiano Ronaldo akija Tanzania ama Kenya kutafuta binti bali utapata kile kijizee ama kijana asiye na hadhi kule akija huku. Ukiona society yenu wanaume walio na uwezo wa kifedha zaidi wakitafuta mademu nje jua bado socially mko chini zaidi. Wakenya wengi tu wameoa Tanzania ile sio wale Wakenya walio na hadhi ya juu kwenye jamii.
🤣🤣🤣🤣🤣
Hakukutapikia?
Pumbavu mkubwa wewe, hivi Ali Kiba au Ben Paul ana uwezo gani zaidi ya kuwa maarufu?. Uliza kama Christian Rolnado au hao Celebs wengine wengi kama wameoa wanawake toka nchi zao. Huna unalojua zaidi ya kupiga domo, ukweli ni kwamba Tanzania ni vidume katika EA, ninyi wengine ni majike, ni kama lion kingdom porini, dume ni moja linazungukwe na majike mengi, wote huzalishwa na dume moja. Tanzania tumewazalisha Kenya, Uganda, na Rwanda.
Sent using Jamii Forums mobile app
katika wanawake wote wa kikenya ambao vijana wa kitanzania wamewahi kudate nao, hakuna mwanamke ambaye wanaume wa kikenya wanaumia roho kama huyu binti anayedate na ben paul.Zidi kumsukumia moto...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28]View attachment 990873View attachment 990874
Hahahaha Chizi wewe, sasa ulitaka Ben Paul akaoe wazungu?, kati ya wanamuziki wenye pesa huyo jamaa hayupo kabisa huku Bongo.Wacha hasira kijana. Huu mchezo hautaki hasira😀😀😀
Ali Kiba na Ben Pol ni matajiri huko Tanzania. Kila demu Mtanzania anawapigania lakini wao hawataki washamba. Wataendelea tu kikumbilia wasichana wa Kikenya.
Utakua mjinga kudhani Cristiano ameoa demu wa Kiafrika. Shida yako uelewa wako ni finyu. Demu wa Cristiano ni Spanish - nchi ya kizungu iliyo na hadhi sawa na Portugal. Kila siku Mtanzania anaomba apate uwezo wa kuoa demu wa Kikenya na akipata tu uwezo hivi basi kwisha habari. Hayo matusi mnayoshinda mkiporomoshea mademu wa Kikenya humu nimekuja gundua ni uchungu wa mkosaji tu maanake mjinga kama joto la jiwe akipata hela na umaarufu Kidogo atapanda KQ kuja Nairobi kutafuta demu amtoe ushamba.
wapi yule binti yetu Mkerewe. hata baada ya kutolewa ubikira, bado yuko kweli?Kumbe tz unajua barabara tu vya ndani bado.
Yupo Anaendelea na kazi yake ya uchekeshajiwapi yule binti yetu Mkerewe. hata baada ya kutolewa ubikira, bado yuko kweli?
Uje umtafute tena maana February ngoma mpaka asubuhi.Hamna, alikausha muda wote yuko freshi tu. Bahati hiyo bar ilifungwa saa sita kwa mujibu wa sheria zenu, sijui tungeendelea yangeishia wapi.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]wapi yule binti yetu Mkerewe. hata baada ya kutolewa ubikira, bado yuko kweli?
Hahahaha Chizi wewe, sasa ulitaka Ben Paul akaoe wazungu?, kati ya wanamuziki wenye pesa huyo jamaa hayupo kabisa huku Bongo.
Tatizo wanawake wenu wanawapapatikia sana watanzania, hadi Mboso akuwa Yamoto Band, bado mtoto mdogo saba enzi hizo lakini ameshamzalisha mkenya.
Kwa wakenya, waganda au wanyarwanda kutongozwa na mtanzania ni bahati kubwa sana, tutaendelea kuwazalisha na kuwatafuna Dada zenu wakati ninyi hamna uwezo wa kuwapata Dada zetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilijua kauli zenu lazima mzikane wenyewe, na wewe umeshaanza kukana kauli zako za huko nyuma. Halafu ulivyo wa ajabu unafikiri hilo la kila nchi kuwa na wakwasi silijui, wakenya bwana[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Kila nchi ina watu walio na pesa. Utakua mjinga kufurahia mtu kusema kuna watu nchi yako walio na pesa. Kweli Wabongo fikra zenu ni finyu.
Uje umtafute tena maana February ngoma mpaka asubuhi.
Hiyo inaitwa Konki konki konki masterDemu chapombe ni turn off for me, chupa sizidi tano, lakini kama ni wa kutirirka tungi hapana, labda enzi nilizokua nalewa, wakati huo nilikua najiachia nakunywa pombe nyingi nalewa balaa, sasa hapo niwe na totoz ambaye naye analewa kupindukia halafu sote walevi tuishie gesti, ndio ngoma inanoga balaa maana hakuna kitu hatutafanya.
Wema Sepetu tumekuandalia wewe jiraniWasanii hupendwa na mademu wote kote duniani, huyo Ali Kiba hata akienda Msumbiji, Rwanda, Zambia, Uganda na mataifa yote ya ukanda huu atapendwa tu, lakini sasa hili la top cream ya wasanii wenu wote kufuata Kenya ndio haileweki, na hata ambao hawaji Kenya wanafuata nchi zingine kama Rwanda au Uganda na kuwaacha akina Wema Sepetu wakiliwa na wanasiasa.
Hahahaha, kwahiyo wanyarwanda, waganda na wakenya ambao wote wanaolewa na watanzania, nchi zote hizo zinahadhi kuliko Tanzania?, kule Mombasa wanaume wanakubali kuwaruhusu wake zao waolewe na wazungu japo kwa mkataba ili wakatengeneze maisha, je wale pia wanahadhi ya juu?Wewe saa zingine unakuanga kama mtoto au mtu asiye na akili vile. Yaani maswali unayouliza ni kambe huelewi hata kinachoongelewa wakati upo kwenye mjadala. Sasa nani kasema nilitaka aoe mzungu?
Nimekupa examples nyingi muno kwamba, ukipata mtu katoka society iliyo na hadhi ya chini ameoa au kuoleka na mtu kutoka society iliyo na hadhi ya juu, lazima yule kutoka society iliyo na hadhi ya chini awe na umaarufu au pesa kwa wingi. Vijana kutoka jamii zenye hadhi ya chini kila mara hutaka kukubalika kwa jamii zenye hadhi ya juu na wao uona njia mwafaka ni kutafuta demu kutoka jamii yenye hadhi ya juu na wakipata huo uwezo wanafanya hivo tena haraka sana. Sasa hivi tunapoongea, kijana aliye na umaarufu zaidi Tanzania ni Diamond - anadate Mkenya.
Kuna Kiba - ameoa Mkenya
Sasa Ben Pol anadate Mkenya.
Hili linamaana lengo la kijana mtanzania ni kupata binti wa Kikenya na sasa hivi tunapoongea, wewe kilaza ndoto yako ni kupata binti wa Kikenya ni vile huna uwezo.
Ebu watch hii video hapa kama utaelewa Kiingereza labda utaelewa ninachokueleza.