Tetesi: Ben Saanane kuna biashara gani unafanya na ubalozi wa Sahara Magharibi na Kundi la TASSC?

Tetesi: Ben Saanane kuna biashara gani unafanya na ubalozi wa Sahara Magharibi na Kundi la TASSC?

Joined
Nov 1, 2016
Posts
5
Reaction score
31
Wakuu Habari zenu,

Kwa vile Ben Saanane ameonesha kuwa ni mtu anayeamini katika Ukweli na uwazi kiasi cha kupambana na kumshambulia Rais Magufuli mfululizo kwenye page yake Facebook.Jamii forums na Makala za Raia Mwema,sasa hebu ajitokeze aeleze fedha hizi alizolipwa na ubalozi wa Sahara Magharibi ni zaidi ya Milioni 12 ni za nini?

Vilevile kabla ya mfalme wa Morroco kuingia zilipatikana taarifa za ubalozi wa Sahara kwa kushirikiana na balozi fulani hapa nchini ziliwalipa watu fedha ili kuhakikisha Ziara ile inachafuliwa.

Ikumbukwe baada ya hapo kuna kundi lililojiita la TASSC lilifanya mkutano na waandishi wa habari Landmark hotel.Fedha walitoa wapi?Taarifa za uhakika Ben Saanane aliongea na baadhi ya wahariri na yeye haijulikani alikuwa na maslahi gani na katika habari hiyo .

Jeshi la polisi lilimkamata na kumhoji Kijana Noel Shao ambae kwa uchunguzi wa kina hapo kabla alionekana kuwa na ushirikiano na mawasiliano ya karibu na Ben Saanane na baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani.

Vilevile tutapata taarifa nzuri juu ya mmiliki wa Akaunti namba 01J1093293000.

Kama tumefikia hatua kwamba sasa watu ambao serikali iliwasomesha kwa fedha nyingi wanaamua kutumika vibaya na wasiolitakia taifa letu mema basi Tanzania haitakaa iendelee.

Kwa anachofanya kijana huyu msomi hakina tofauti na kile alichosema Evarist Chahali kuwa ni ugaidi na anatekeleza makosa makubwa ya kiuadui ya kuhujumu nchi.

Hata Marekani au uingereza hawawezi kuvumilia mambo kama haya ndiyo maana leo akina Assange na snowden wapo uhamishoni

Ndani ya mgogoro wa CUF unaoendelea kuna kiongozi Abdul Kambaya aliwahi kumshutumu kijana huyu na kutoa angalizo kwenye vyombo vya habari kuwa huyu na jussa wachunguzwe kwa karibu.Lile halikuwa jambo dogo.

Na hata kazi anayoendelea kufanya ya kumshambulia Rais Magufuli mfululizo isipodhibitiwa basi yeye na kundi lake watalifanya taiafa lionekane la ajabu kabisa.Na hata CHADEMA kitakuwa kinaongozwa na watu wasiolitakia Taifa hili mema kwani kadiri siku zinavyosonga mbele ndivyo yeye na kundi lake wanazidi kujiimarisha kwenye mitandao na wanazidi kuwa wengi huku wakifanya harakati nyingine haramu tena kwa kushirikiana na taasisi za nje.
 
You are missing the point.

Issue sio Ubalozi wa Sahara issue ni analipwa.Kiasi gani na Algeria maana wenzake wamekuwa mabilionea na going rates ni between $5-10 a year

Wapo humu na wanajijua na anajua why hizo pesa zime tu cost kiasi gani kwa mwaka kama taifa
 
Unayoyasema kuhusu mambo ya kupokea pesa kutoka Sahara Magharibi, hayo yanahitaji kuthibishwa zaidi na upande wa pili ambao mhusika ni Ben.

Lakini unaposema Ben amekuwa akiishambulia serikali na Rais haina tofauti sana na kundi la vijana wa UVCCM/Lumumba wanavyowashambulia viongozi mbalimbali wa Upinzani na hasa CHADEMA.

Hilo liko wazi kabisa kwamba kila upande yani CCM na CHADEMA vina watu wao ambao kazi yao kila siku na karibia kwa masaa yote ni kupita humu mitandaoni na ku defend lolote linalowasema vibaya.

Sasa sijui shida ipo wapi hapo au mmezidiwa??
 
chahali msaliti wa nchi leo kaipenda,kaanza lini,huyu si anasakwa kwa kosa kubwa la usaliti?

kila siku anawashitaki mabosi wake scotland yard na hao majasusi ya uingereza ndio yanamlinda huko,

kwanza atwambie,alisaliti jambo gani huyu snowden wa afrika mashariki
You nailed it
 
Unayoyasema kuhusu mambo ya kupokea pesa kutoka Sahara Magharibi, hayo yanahitaji kuthibishwa zaidi na upande wa pili ambao mhusika ni Ben.

Yaani mkuu unataka Ben aje kuthibitisha hayo hapa? Ili amridhishe nani? Huyo anayetaka uthibitisho si amtafute Ben ampe? Aaaaah wakuu tuna kazi nyingi za maana sio kusoma uthibitisho wa allegations zisizo na maana
 
Wakuu Habari zenu,

Kwa vile Ben Saanane ameonesha kuwa ni mtu anayeamini katika Ukweli na uwazi kiasi cha kupambana na kumshambulia Rais Magufuli mfululizo kwenye page yake Facebook.Jamii forums na Makala za Raia Mwema,sasa hebu ajitokeze aeleze fedha hizi alizolipwa na ubalozi wa Sahara Magharibi ni zaidi ya Milioni 12 ni za nini?

Vilevile kabla ya mfalme wa Morroco kuingia zilipatikana taarifa za ubalozi wa Sahara kwa kushirikiana na balozi fulani hapa nchini ziliwalipa watu fedha ili kuhakikisha Ziara ile inachafuliwa.

Ikumbukwe baada ya hapo kuna kundi lililojiita la TASSC lilifanya mkutano na waandishi wa habari Landmark hotel.Fedha walitoa wapi?Taarifa za uhakika Ben Saanane aliongea na baadhi ya wahariri na yeye haijulikani alikuwa na maslahi gani na katika habari hiyo .

Jeshi la polisi lilimkamata na kumhoji Kijana Noel Shao ambae kwa uchunguzi wa kina hapo kabla alionekana kuwa na ushirikiano na mawasiliano ya karibu na Ben Saanane na baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani.

Vilevile tutapata taarifa nzuri juu ya mmiliki wa Akaunti namba 01J1093293000.

Kama tumefikia hatua kwamba sasa watu ambao serikali iliwasomesha kwa fedha nyingi wanaamua kutumika vibaya na wasiolitakia taifa letu mema basi Tanzania haitakaa iendelee.

Kwa anachofanya kijana huyu msomi hakina tofauti na kile alichosema Evarist Chahali kuwa ni ugaidi na anatekeleza makosa makubwa ya kiuadui ya kuhujumu nchi.

Hata Marekani au uingereza hawawezi kuvumilia mambo kama haya ndiyo maana leo akina Assange na snowden wapo uhamishoni

Ndani ya mgogoro wa CUF unaoendelea kuna kiongozi Abdul Kambaya aliwahi kumshutumu kijana huyu na kutoa angalizo kwenye vyombo vya habari kuwa huyu na jussa wachunguzwe kwa karibu.Lile halikuwa jambo dogo.

Na hata kazi anayoendelea kufanya ya kumshambulia Rais Magufuli mfululizo isipodhibitiwa basi yeye na kundi lake watalifanya taiafa lionekane la ajabu kabisa.Na hata CHADEMA kitakuwa kinaongozwa na watu wasiolitakia Taifa hili mema kwani kadiri siku zinavyosonga mbele ndivyo yeye na kundi lake wanazidi kujiimarisha kwenye mitandao na wanazidi kuwa wengi huku wakifanya harakati nyingine haramu tena kwa kushirikiana na taasisi za nje.
Noel shao,Ben saanane,mbowe,lema,selasini,mrema,mnyika dah...hii sio bahati mbaya
Lakini huyu saa 8,si alishawahi kutuhumiwa kutembea na paketi ya sumu?sio ajabu kupanga ugaidi kuharibu ziara ya mfalme wa Morroco
 
Noel shao,Ben saanane,mbowe,lema,selasini,mrema,mnyika dah...hii sio bahati mbaya
Lakini huyu saa 8,si alishawahi kutuhumiwa kutembea na paketi ya sumu?sio ajabu kupanga ugaidi kuharibu ziara ya mfalme wa Morroco
 
ivi, wadau mwajua, ben ni sawa na nyumba 50 za lumumba? wwe unaungua ID mpya kuja na upuuzi jibu hoja hcha unyumbu!
 
Noel shao,Ben saanane,mbowe,lema,selasini,mrema,mnyika dah...hii sio bahati mbaya
Lakini huyu saa 8,si alishawahi kutuhumiwa kutembea na paketi ya sumu?sio ajabu kupanga ugaidi kuharibu ziara ya mfalme wa Morroco
Mkuu kabombe...[emoji350]
Sijakuelewa kwann umeorodhesha majina hayo...
.
.
.
Kyenekyaka mkighanile une
 
Huyo ben hana lolote anachoweza ni kuua kwa sumu tu.
Ila naamini atashughulikiea sisi huwa hatuomgei braza.Action talks
 
Back
Top Bottom