Tetesi: Ben Saanane kuna biashara gani unafanya na ubalozi wa Sahara Magharibi na Kundi la TASSC?

Tetesi: Ben Saanane kuna biashara gani unafanya na ubalozi wa Sahara Magharibi na Kundi la TASSC?

Hakuna ushahidi kama kweli kafa
Mbona kuna ushahidi kuwa kaondoka kwa mkono wa mzee baba mwenyewe? Inasadikiwa anasubiriwa ang'olewe tuu kisha kile kifungu cha katiba kifutwe hata kwa muda tuu ile watu wale sahani moja na yeye!
 
Jibu si alilipata Ben au bado mnangojea jibu gani?
Kutoka kwa watu waoga ndio wanaoona kupoteza maisha ya wengine kwa siri ni ushujaa.
Kama unamuua kijana kama Ben kwa vile kahoji tuu elimu yako basi kuna mawili.
1. Elimu hiyo uliyo nayo ni magumashi hivyo huna fahari ya kusimama na kujidai NATO
2. Wewe ni mtu muoga na mshenzi usiyestahili kuwepo katika ulimwengu wa kistaarabu
 
Kutoka kwa watu waoga ndio wanaoona kupoteza maisha ya wengine kwa siri ni ushujaa.
Kama unamuua kijana kama Ben kwa vile kahoji tuu elimu yako basi kuna mawili.
1. Elimu hiyo uliyo nayo ni magumashi hivyo huna fahari ya kusimama na kujidai NATO
2. Wewe ni mtu muoga na mshenzi usiyestahili kuwepo katika ulimwengu wa kistaarabu
Hahaha...nani kamuua? sio kwamba yuko msituni anapigania uhuru wa Sahara Magharibi?
 
Dawa nzuri kwa watu wa hivi ni kuwakutanisha na Israel tu.

Kulea ujinga na kudekeza wahuni ni kupoteza mamlaka kamili kwa kiongozi yeyote awaye
Dah!... Siasa hizi...
 
Mbona kuna ushahidi kuwa kaondoka kwa mkono wa mzee baba mwenyewe? Inasadikiwa anasubiriwa ang'olewe tuu kisha kile kifungu cha katiba kifutwe hata kwa muda tuu ile watu wale sahani moja na yeye!
weka ushahidi tuone
 
Huyo ben hana lolote anachoweza ni kuua kwa sumu tu.
Ila naamini atashughulikiea sisi huwa hatuomgei braza.Action talks
Na kweli 'mlifanya kazi yenu' Damu ya binadamu huwa haipotei kamwe tarajieni upanga wa moto wa Mwenyezi Mungu kweni nyote na vizazi vyenu.
 
Back
Top Bottom