Tetesi: Ben Saanane kuna biashara gani unafanya na ubalozi wa Sahara Magharibi na Kundi la TASSC?

Tetesi: Ben Saanane kuna biashara gani unafanya na ubalozi wa Sahara Magharibi na Kundi la TASSC?

Wakuu Habari zenu,

Kwa vile Ben Saanane ameonesha kuwa ni mtu anayeamini katika Ukweli na uwazi kiasi cha kupambana na kumshambulia Rais Magufuli mfululizo kwenye page yake Facebook.Jamii forums na Makala za Raia Mwema,sasa hebu ajitokeze aeleze fedha hizi alizolipwa na ubalozi wa Sahara Magharibi ni zaidi ya Milioni 12 ni za nini?

Vilevile kabla ya mfalme wa Morroco kuingia zilipatikana taarifa za ubalozi wa Sahara kwa kushirikiana na balozi fulani hapa nchini ziliwalipa watu fedha ili kuhakikisha Ziara ile inachafuliwa.

Ikumbukwe baada ya hapo kuna kundi lililojiita la TASSC lilifanya mkutano na waandishi wa habari Landmark hotel.Fedha walitoa wapi?Taarifa za uhakika Ben Saanane aliongea na baadhi ya wahariri na yeye haijulikani alikuwa na maslahi gani na katika habari hiyo .

Jeshi la polisi lilimkamata na kumhoji Kijana Noel Shao ambae kwa uchunguzi wa kina hapo kabla alionekana kuwa na ushirikiano na mawasiliano ya karibu na Ben Saanane na baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani.

Vilevile tutapata taarifa nzuri juu ya mmiliki wa Akaunti namba 01J1093293000.

Kama tumefikia hatua kwamba sasa watu ambao serikali iliwasomesha kwa fedha nyingi wanaamua kutumika vibaya na wasiolitakia taifa letu mema basi Tanzania haitakaa iendelee.

Kwa anachofanya kijana huyu msomi hakina tofauti na kile alichosema Evarist Chahali kuwa ni ugaidi na anatekeleza makosa makubwa ya kiuadui ya kuhujumu nchi.

Hata Marekani au uingereza hawawezi kuvumilia mambo kama haya ndiyo maana leo akina Assange na snowden wapo uhamishoni

Ndani ya mgogoro wa CUF unaoendelea kuna kiongozi Abdul Kambaya aliwahi kumshutumu kijana huyu na kutoa angalizo kwenye vyombo vya habari kuwa huyu na jussa wachunguzwe kwa karibu.Lile halikuwa jambo dogo.

Na hata kazi anayoendelea kufanya ya kumshambulia Rais Magufuli mfululizo isipodhibitiwa basi yeye na kundi lake watalifanya taiafa lionekane la ajabu kabisa.Na hata CHADEMA kitakuwa kinaongozwa na watu wasiolitakia Taifa hili mema kwani kadiri siku zinavyosonga mbele ndivyo yeye na kundi lake wanazidi kujiimarisha kwenye mitandao na wanazidi kuwa wengi huku wakifanya harakati nyingine haramu tena kwa kushirikiana na taasisi za nje.
Naanza kung'amua mkuu
 
hahahaaaa.........mfalme wa selfie,

hamna lolote,hata kuran alizoleta zimeleta utata misikitini,zina maneno ambayo waislam wanasema hawayatambui,wanahisi kuna uchakachuaji
Kama vitabu havieleweki vipelekwe katika chuo kikuu cha wailamu morogoro na ikidhibitika ni kweli wavikusanye na kuvirudisha katika ubalozi ili kuondoa watu kuchanganyikiwa na mafundisho na kuleta vurugu
 
Huyo ben hana lolote anachoweza ni kuua kwa sumu tu.
Ila naamini atashughulikiea sisi huwa hatuomgei braza.Action talks
Sawa kabisa, tcra watafanya kazi yao
Wakuu Habari zenu,

Kwa vile Ben Saanane ameonesha kuwa ni mtu anayeamini katika Ukweli na uwazi kiasi cha kupambana na kumshambulia Rais Magufuli mfululizo kwenye page yake Facebook.Jamii forums na Makala za Raia Mwema,sasa hebu ajitokeze aeleze fedha hizi alizolipwa na ubalozi wa Sahara Magharibi ni zaidi ya Milioni 12 ni za nini?

Vilevile kabla ya mfalme wa Morroco kuingia zilipatikana taarifa za ubalozi wa Sahara kwa kushirikiana na balozi fulani hapa nchini ziliwalipa watu fedha ili kuhakikisha Ziara ile inachafuliwa.

Ikumbukwe baada ya hapo kuna kundi lililojiita la TASSC lilifanya mkutano na waandishi wa habari Landmark hotel.Fedha walitoa wapi?Taarifa za uhakika Ben Saanane aliongea na baadhi ya wahariri na yeye haijulikani alikuwa na maslahi gani na katika habari hiyo .

Jeshi la polisi lilimkamata na kumhoji Kijana Noel Shao ambae kwa uchunguzi wa kina hapo kabla alionekana kuwa na ushirikiano na mawasiliano ya karibu na Ben Saanane na baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani.

Vilevile tutapata taarifa nzuri juu ya mmiliki wa Akaunti namba 01J1093293000.

Kama tumefikia hatua kwamba sasa watu ambao serikali iliwasomesha kwa fedha nyingi wanaamua kutumika vibaya na wasiolitakia taifa letu mema basi Tanzania haitakaa iendelee.

Kwa anachofanya kijana huyu msomi hakina tofauti na kile alichosema Evarist Chahali kuwa ni ugaidi na anatekeleza makosa makubwa ya kiuadui ya kuhujumu nchi.

Hata Marekani au uingereza hawawezi kuvumilia mambo kama haya ndiyo maana leo akina Assange na snowden wapo uhamishoni

Ndani ya mgogoro wa CUF unaoendelea kuna kiongozi Abdul Kambaya aliwahi kumshutumu kijana huyu na kutoa angalizo kwenye vyombo vya habari kuwa huyu na jussa wachunguzwe kwa karibu.Lile halikuwa jambo dogo.

Na hata kazi anayoendelea kufanya ya kumshambulia Rais Magufuli mfululizo isipodhibitiwa basi yeye na kundi lake watalifanya taiafa lionekane la ajabu kabisa.Na hata CHADEMA kitakuwa kinaongozwa na watu wasiolitakia Taifa hili mema kwani kadiri siku zinavyosonga mbele ndivyo yeye na kundi lake wanazidi kujiimarisha kwenye mitandao na wanazidi kuwa wengi huku wakifanya harakati nyingine haramu tena kwa kushirikiana na taasisi za nje.
asa si waanze na nyinyi ? Maana ben saa8 kapotea hivi hivi
 
MMh!!! GOD FORBID . This issue awakens me. Something is wrong at one end or another. I do not know which one is wrong.
 
mtoa post nimekuona mwehu ingawa mm sipend kuingza siasa na masuala nyeti ya maisha ya m2,unaposema eti serikal imewasomesha vjana haf tena wanaisema vbaya hv kwel mstar huo pnd unaandisha ulijiuliza mara mbil juu serikal kuwasomesha watu wake? kwan wanaosomeshwa bure au wanakopeshwa? vjana weng wa miaka ya kuanzia 2000 hawasomeshwi bure bal wanakopeshwa ndio maana saiz serikal imeamua hata kuwapandishia makapo toka 8% mpaka 15% hafu we2 kisa 2 unajifunza siasa unakuja na uharo kama huu,hata kama wangesomeshwa bure ukifanya vbaya ukiwa kama mzaz usiambiwe kuwe unavyoenda sio sawa na c utu na uungwana. vjana wa kitanzania 2ache mihemko ya kisiasa na kuacha maslah mapana kwa mustakabal wa nch na watu wake,co kwasababu unamaslah binafsi basi utete kila jambo hata kama n ovu! kwan nn wasiwadai pesa walizo someshwa akina lipumba,lowasa,jk,jpm n.k ambao hao ndio waliosoma bure? huo mstari wa serikali imewasomesha bure vijana kwa kwel mtoa post kama n kijana bas ume2kosea sana vjana 2naokatwa makato makubwa ktk rizk
 
Mmemshindwa Ben kwa hoja sasa mmegeukia viroja.

Niliwaambia UVCCM all inclusive, kwenu Ben, Malisa na Yericko ni level nyingine hamuwawezi.
hawana hoja bali niwaropokaji wazuri sana ' silence is the answer to the fool'' wengine wakasema "Never argue with a fool"
 
Alie Andika Hii thread anaweza juwa Ben alipo
 
TCRA na POLISI hapa ndio pakuanzia...Evarist Chahali pia anaweza kuwasaidia kujua ben alipo.
 
hapa kuna uhusiano na kutoweka kwake mungu wape ujasiri ahli zake
 
Jamani hivi huyu jamaa ameshindwa kupatikana kweli pamoja na kuwepo vyombo vyote vya ulinzi nchini. Mtu kama huyu kupotea na asijulikane alipo ni doa katika kizazi hiki na kijacho maana kama karne hii mtu anapotea na hajulikani alipo, karne ambayo osama alijificha akakamatika. Hii ni hatari sana.
 
Ndipo aliko huko anapigana vita ya jangwani dhidi ya morocco
 
You are missing the point.

Issue sio Ubalozi wa Sahara issue ni analipwa.Kiasi gani na Algeria maana wenzake wamekuwa mabilionea na going rates ni between $5-10 a year

Wapo humu na wanajijua na anajua why hizo pesa zime tu cost kiasi gani kwa mwaka kama taifa
Mkuu hebu fungua hii code kidogo
 
Back
Top Bottom