Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You are missing the point.
Issue sio Ubalozi wa Sahara issue ni analipwa.Kiasi gani na Algeria maana wenzake wamekuwa mabilionea na going rates ni between $5-10 a year
Wapo humu na wanajijua na anajua why hizo pesa zime tu cost kiasi gani kwa mwaka kama taifa
Kwa kweli litakuwa jambo jema sana [emoji6]Mkuu hebu fungua hii code kidogo
........... umeshawai kwenda kutoa pole kwa familia ya Ben ?Ben endelea na kazi hawa UVCCM tumeshawamaliza.
Wewe umeshawahi kwenda kutubu kwa kushiriki kumwaga damu ya Ben?........... umeshawai kwenda kutoa pole kwa familia ya Ben ?
Hakuna ushahidi kama kweli kafaWewe umeshawahi kwenda kutubu kwa kushiriki kumwaga damu ya Ben?
Mmemfanya nini Ben wa watu nyie mumiani?Hakuna ushahidi kama kweli kafa
Mmemfanya nini Ben wa watu nyie mumiani?
Wewe muuaji wa Ben ulaaniwe milele.Wakuu Habari zenu,
Kwa vile Ben Saanane ameonesha kuwa ni mtu anayeamini katika Ukweli na uwazi kiasi cha kupambana na kumshambulia Rais Magufuli mfululizo kwenye page yake Facebook.Jamii forums na Makala za Raia Mwema,sasa hebu ajitokeze aeleze fedha hizi alizolipwa na ubalozi wa Sahara Magharibi ni zaidi ya Milioni 12 ni za nini?
Vilevile kabla ya mfalme wa Morroco kuingia zilipatikana taarifa za ubalozi wa Sahara kwa kushirikiana na balozi fulani hapa nchini ziliwalipa watu fedha ili kuhakikisha Ziara ile inachafuliwa.
Ikumbukwe baada ya hapo kuna kundi lililojiita la TASSC lilifanya mkutano na waandishi wa habari Landmark hotel.Fedha walitoa wapi?Taarifa za uhakika Ben Saanane aliongea na baadhi ya wahariri na yeye haijulikani alikuwa na maslahi gani na katika habari hiyo .
Jeshi la polisi lilimkamata na kumhoji Kijana Noel Shao ambae kwa uchunguzi wa kina hapo kabla alionekana kuwa na ushirikiano na mawasiliano ya karibu na Ben Saanane na baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani.
Vilevile tutapata taarifa nzuri juu ya mmiliki wa Akaunti namba 01J1093293000.
Kama tumefikia hatua kwamba sasa watu ambao serikali iliwasomesha kwa fedha nyingi wanaamua kutumika vibaya na wasiolitakia taifa letu mema basi Tanzania haitakaa iendelee.
Kwa anachofanya kijana huyu msomi hakina tofauti na kile alichosema Evarist Chahali kuwa ni ugaidi na anatekeleza makosa makubwa ya kiuadui ya kuhujumu nchi.
Hata Marekani au uingereza hawawezi kuvumilia mambo kama haya ndiyo maana leo akina Assange na snowden wapo uhamishoni
Ndani ya mgogoro wa CUF unaoendelea kuna kiongozi Abdul Kambaya aliwahi kumshutumu kijana huyu na kutoa angalizo kwenye vyombo vya habari kuwa huyu na jussa wachunguzwe kwa karibu.Lile halikuwa jambo dogo.
Na hata kazi anayoendelea kufanya ya kumshambulia Rais Magufuli mfululizo isipodhibitiwa basi yeye na kundi lake watalifanya taiafa lionekane la ajabu kabisa.Na hata CHADEMA kitakuwa kinaongozwa na watu wasiolitakia Taifa hili mema kwani kadiri siku zinavyosonga mbele ndivyo yeye na kundi lake wanazidi kujiimarisha kwenye mitandao na wanazidi kuwa wengi huku wakifanya harakati nyingine haramu tena kwa kushirikiana na taasisi za nje.
Damu yake haiwaachi salama nyie na familia zenuHuyo ben hana lolote anachoweza ni kuua kwa sumu tu.
Ila naamini atashughulikiea sisi huwa hatuomgei braza.Action talks
Yuko msituni anapigania uhuru wa Sahara Magharibi.Mmemfanya nini Ben wa watu nyie mumiani?
Endelea kuota mchana.Damu yake haiwaachi salama nyie na familia zenu
Kipi hicho choo choo kike?Mwenzenu mlimchochea akaingia choo cha kike. Kweli magroup yanapoteza. Better shutout .
Jina lako nimelipenda limekaa kimovie yaani ni Code
Kama wewe bado wasiliana na wenzako wakuambie wanavyo sokotwaEndelea kuota mchana.
Jibu si alilipata Ben au bado mnangojea jibu gani?Labda alikuwa ni afisa mpenywa, mmoja wa waliohusika kumpoteza Ben.
Kwamba yatapita hivi hivi? Majibu ni hapa hapa duniani.
Hata maandiko matakatifu yanawaasa kutii mamlaka zilizowekwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu, kinyume na hapo utafixwa tu na kuacha wapendwa wakihuzunika na wapambe wakijifariji na kuota ndoto za mchana.Kama wewe bado wasiliana na wenzako wakuambie wanavyo sokotwa
da huyu ni mtanzania kweli anaweza kufanya mambo hayo kuichafua nchi kisa pesa?Wakuu Habari zenu,
Kwa vile Ben Saanane ameonesha kuwa ni mtu anayeamini katika Ukweli na uwazi kiasi cha kupambana na kumshambulia Rais Magufuli mfululizo kwenye page yake Facebook.Jamii forums na Makala za Raia Mwema,sasa hebu ajitokeze aeleze fedha hizi alizolipwa na ubalozi wa Sahara Magharibi ni zaidi ya Milioni 12 ni za nini?
Vilevile kabla ya mfalme wa Morroco kuingia zilipatikana taarifa za ubalozi wa Sahara kwa kushirikiana na balozi fulani hapa nchini ziliwalipa watu fedha ili kuhakikisha Ziara ile inachafuliwa.
Ikumbukwe baada ya hapo kuna kundi lililojiita la TASSC lilifanya mkutano na waandishi wa habari Landmark hotel.Fedha walitoa wapi?Taarifa za uhakika Ben Saanane aliongea na baadhi ya wahariri na yeye haijulikani alikuwa na maslahi gani na katika habari hiyo .
Jeshi la polisi lilimkamata na kumhoji Kijana Noel Shao ambae kwa uchunguzi wa kina hapo kabla alionekana kuwa na ushirikiano na mawasiliano ya karibu na Ben Saanane na baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani.
Vilevile tutapata taarifa nzuri juu ya mmiliki wa Akaunti namba 01J1093293000.
Kama tumefikia hatua kwamba sasa watu ambao serikali iliwasomesha kwa fedha nyingi wanaamua kutumika vibaya na wasiolitakia taifa letu mema basi Tanzania haitakaa iendelee.
Kwa anachofanya kijana huyu msomi hakina tofauti na kile alichosema Evarist Chahali kuwa ni ugaidi na anatekeleza makosa makubwa ya kiuadui ya kuhujumu nchi.
Hata Marekani au uingereza hawawezi kuvumilia mambo kama haya ndiyo maana leo akina Assange na snowden wapo uhamishoni
Ndani ya mgogoro wa CUF unaoendelea kuna kiongozi Abdul Kambaya aliwahi kumshutumu kijana huyu na kutoa angalizo kwenye vyombo vya habari kuwa huyu na jussa wachunguzwe kwa karibu.Lile halikuwa jambo dogo.
Na hata kazi anayoendelea kufanya ya kumshambulia Rais Magufuli mfululizo isipodhibitiwa basi yeye na kundi lake watalifanya taiafa lionekane la ajabu kabisa.Na hata CHADEMA kitakuwa kinaongozwa na watu wasiolitakia Taifa hili mema kwani kadiri siku zinavyosonga mbele ndivyo yeye na kundi lake wanazidi kujiimarisha kwenye mitandao na wanazidi kuwa wengi huku wakifanya harakati nyingine haramu tena kwa kushirikiana na taasisi za nje.