Ben Saanane mwisho wake umefika rasmi

Pasco sio mtu mzuri,hana tofauti na kina msaliti zitto,et hana chama???? Liccm kaliacha?
Mkuu Victor wa Happy, kwanza asante, nakiri wazi mimi sio mtu mzuri hata kidogo, na hata alipokuja Masiya, ni kwa kupitia watu kama Pilato, alisulubiwa na ni kwa kuteswa kwake sisi tuliponywa!. Njia ya ukombozi ni ngumu nyembamba na yenye miiba na mbigiri kama ilivyo njia ya mbinguni!. Ni kwa kupitia watu ambao sio wazuri kama kina sisi ndipo Chadema itaweza kuonyesha uwezo!. Kuuimbia Chadema nyimbo za sifa na mapambio, hayawezi kuifikisha Chadema popote!.

Thanks.
Pasco
 
Hizi ndo siasa Za Bavicha Ukiua kwa Upanga utakufa kwa upanga
 
Usaliti,Usaliti USALITI
 
Bavicha msipompa uenyekiti Ben ntawashangaa sana.
 
Bavicha msipompa uenyekiti Ben ntawashangaa sana.

Kete moja ya kutumainiwa na CCM katika uchaguzi huu wa BAVICHA ni mida 8. Dont be fooled na sakata la usaliti la kina Zitto. Hiyo kwa mtizamo wangu ilichezwa kiakili na CCM. Jaribuni kusoma Mwenendo wa mida 8? alipata wapi hela za kuhonga uchaguzi wa awali? na maisha yake anayaendeshaje. kumbukeni 'Trust nobody suspect everybody!
 
Jibu hoja mambo ya makalio sio hoja. Onesha jinsi usivyotumia makalio kufikiri kwa kukubali au kukataa hoja ya mtoa uzri sio kukariri uropokaji wa Masaburi
Maranyingi inakua ni vizuri sana Ukiwa Unatumia kichwa kifikiri na si kikalio kufikiria kuna watu wanatumia Makalio kufikiria ni jambo baya sana
 
Ni HAKI YA KILA MWANACDM KUCHUKUA FOMU NA KUGOMBEA UONGOZI KAMA TARATIBU,KANUNI NA MIONGOZO INARUHUSU. Hivyo ni haki yake pia BEN kugombea na mwisho wa siku kura ndizo zitakazoamua.Spendezwi na tabia za watu kujiita wana cdm huku wakivunja taratibu na kutumia mitandao ya kijamii kufitinisha wenzao kwa chuki zao binafsi,cdm si chama cha makundi na hatuwezi kuendelea kuwavumilia watu hao wenye tabia za kimagamba
 
Mtu huyu mwenye rekodi ya mwanamkakati wa Pm-7 alizaliwa 13/12/1983
Mkuu Tutashinda, kauli huumba, na lisemwalo lipo kama halipo, linakuja!.
Angalia heading ya bandiko lako hili, na tarehe ya bandiko hili, halafu angalia nini kilikuja kutokea kwa Ben Saanane.


Wana jf tuanze kujifunza kuchunga kauli zetu, kauli nyingine zinaumba, ukisema mwisho wa fulani, bila hata wewe kumaanisha ni mwisho kwa kutoweka, kwenye heading ulisema

"ben-saanane-mwisho-wake-umefika-rasmi",
Wewe bila kujua kuwa kauli hii ina powers, baada ya kutolewa bila kuwekewa any caveat ya mwisho wa nini, then powers zimeanza ku act kuutengeneza mwisho wa Ben.

Maadam kwenye bandiko hili, ulidhamiria mwisho wa Ben Saanane ni mwisho kwenye uchaguzi wa Bavicha, then the headline yako should have said so, " Ben Saanane Mwisho Wake Kugombea Bavicha Umefika Rasmi " ili zile powers za kauli yako iwe limited kwa Bavicha tuu, kitendo cha kutoa open ended statements bila kinga, ndicho kimepelekea kuchangia kufika mwisho kwa Ben Saanane.

Kwenye bandiko hili mimi pia nilichangia
From no where, jana nimetokea tuu kumkumbuka Ben Saanane, sikujua kwanini, hivyo nilipoamka nikaanza kupitia baadhi ya mabandiko humu ndipo nikakutana na bandiko hili la 2014, nilipolisoma ndipo nikagundua kumbe jana ndio tarehe ya kuzaliwa ya Ben Saanane.
Happy Birthday Ben Saanane.
P
 
HBD jembe, He has left us with may almight God comfort his family.

My spirit completely refuses to believe the boy is dead, I get the feeling he is going to return one day.
 
Najikumbusha Ben Saanane!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…