Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,221
- 6,940
Sidhani kama wewe ni mwana CCM.Mambo ya CCM yanaenda kwa vikao.
Kikao gani kiliamua "sheria za kitamaduni tulizojiwekea" za mihula miwili miwili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama wewe ni mwana CCM.Mambo ya CCM yanaenda kwa vikao.
Kikao gani kiliamua "sheria za kitamaduni tulizojiwekea" za mihula miwili miwili?
Hakuna anayemuhitaji,Labda Nyumbu Wa Ufipa.Hata sisi tunamshangaa alikuwa wapi wakati huo, lakini kama ameamua kuomba ridhaa kugombea sasa kuna ubaya gani?
Uoga tuCDM Mitandaoni ndio wanamuhitaji Mende, sisi CCM Tunaye Rais tayari.
Ni sheria ipi inasema kua inabidi kuuliza au kuhitaji time huru ukiwa madarakani?
Pili kada mtiifu Membe ameona ni muda sahihi kufanya yeye kuliko kumtaka mtu mwingine afanye.
Mwisho..ebu nipe evidence ya JPM akikemea rushwa,ufisadi wakati wa Mkapa na Kikwete.
Wa kuambiwa ni Membe, by the way mbona mmekomaa na Mende? Lissu vipi hatakiwi tena?mwambieni jiwe asubiri membe anagombea sasa
Sisi ccm tunaenda na membe lissu ni mchadema sijui ratiba zao sasaWa kuambiwa ni Membe, by the way mbona mmekomaa na Mende? Lissu vipi hatakiwi tena?
Kwanini hakuyasema haya Kikwete alipokua anagombea term ya pili? Kikwete aligombea na nani term ya pili?
Leo tumedhaminiwa a Lowasa an mkewe.Sisi ccm tunaenda na membe lissu ni mchadema sijui ratiba zao sasa
Safi sana Membe agombee huko huko CCM maana wanachama wa CCM wanasema wanamhitaji kwa hali na mali.
Inasikitisha lakini inachekesha- huwa hawapigi kelele wanapokuwa ndiyo wameshika mpini, sasa ukiwageuka wakashika makalini ndio wanapata fahamu. Mwinyi, BWM na JK kila mtu alikula 10 bila challenge baada ya miaka 5. Bilali alijaribu wakamshukia na mwisho wakampa umakamo bora tu asim challenge Karume. Sasa zamu ya JPM wamwache na yeye aule. Hata hivyo sinasikia kuna mfuko mmoja tu wenye formu na huo ulisha andika JPM. Kwa jiwe hata israel hafui dafu, wasubiri 2025 Mola akiwajalia.membe yupo sahihi
ukiona watu wanam-challenge ujue kaharibuInasikitisha lakini inachekesha- huwa hawapigi kelele wanapokuwa ndiyo wameshika mpini, sasa ukiwageuka wakashika makalini ndio wanapata fahamu. Mwinyi, BWM na JK kila mtu alikula 10 bila challenge baada ya miaka 5. Bilali alijaribu wakamshukia na mwisho wakampa umakamo bora tu asim challenge Karume. Sasa zamu ya JPM wamwache na yeye aule. Hata hivyo sinasikia kuna mfuko mmoja tu wenye formu na huo ulisha andika JPM. Kwa jiwe hata israel hafui dafu, wasubiri 2025 Mola akiwajalia.
Wasingoje mtu aharibu, watembee na katiba ya chama chao.ukiona watu wanam-challenge ujue kaharibu
Naheshimu mawazo yako , kuhusu kufatilia au kutofatilia Ni juu yangu , nafaham Mimi mwenyeweNa nilichogundua kuhusu huyu Mheshimiwa baro ni kwamba hafuatilii siasa za kimataifa, na kwa muktadha huu, siasa za US! Lau kama angekuwa mfuatiliaji, mara moja angeona Bill Weld na wenzake waliotajwa hapo juu wote ni Republican Florida, na siasa zilizotajwa ni za FL!
Sidhani kama wewe ni mwana CCM.
Wewe ulichomaanisha ni nini kama sio kwamba Trump amepitishwa kuwa mgombea wa Republican kwenye uchaguzi ujao na sio kwamba amepitishwa jimbo la FL kupambana na wana-Rep wenzake?Naheshimu mawazo yako , kuhusu kufatilia au kutofatilia Ni juu yangu , nafaham Mimi mwenyewe
Lakini Kuna sehemu unakosea , hiyo Florida bado iko Marekani na sio Kwingineko
Sasa dada yangu unataka nikujibu wakati hamna swali..sio kila kwenye alama ya kuuliza ni swali.Haueleweki BAWACHA, unaambiwa jibu swali we unazidisha maswali, utajibiwa vipi maswali yako wakati ya wenzako hautaki kuyajibu?
Mwangalieni mwingine huyu! Hivi unajua unachouliza ni nini hasa?! Kwani kupitishwa kugombea FL ndo kupitishwa kugombea US?!Florida ipo Muleba?
ukiona binadamu anajifananisha na mbwa huyo achana nae, hongera kwa kujiona lijimbwa likali ila usiniambukize mimi uzwazwa wakoJibwa koko joga sana hana uwezo waku battle na mtu yeyote uwezo wake mdogo sana.
Mkuu mbona hasira sana...Trump amepata wapinzani kwenye chama chao ila akashinda. JPM na BCM wachuane tu kwenye chamaMwangalieni mwingine huyu! Hivi unajua unachouliza ni nini hasa?! Kwani kupitishwa kugombea FL ndo kupitishwa kugombea US?!
Chief nadhan huu mjadala majibu yote umeyatoa ktk haya maneno yako.Hii TANZANIA SIO MAREKANI... mbona hajatumia mfano wa China au Urusi ( Demokrasia sio kama chupa ya coca cola ifanane kila nchi) ... Tanzania has its own model of Democracy Zwazwa mkubwa
Sasa kumbe ulipohoji ikiwa FL ipo Muleba hoja yako hasa ilikuwa ipi?! Manake sikuelewi!Mkuu mbona hasira sana...Trump amepata wapinzani kwenye chama chao ila akashinda. JPM na BCM wachuane tu kwenye chama