Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,440
- 8,149
Hao kamati kuu ni akina nani mpaka wawe juu ya katiba ya chama?!Katiba sio msahafu kamati kuu ya Chama imeridhia kuendelea na mgombea huyohuyo ... Huyo Membe yeye ni nani hasa mpka avunje utamaduni na makubaliano ya kamati kuu ... KUNA VYAMA VINGI AENDE ANAPOONA KUNA MFAA SI NDIO DEMOKRASIA HIYO?