Nyota wa Klabu wa Yanga, Benard Morrison raia wa Ghana amesema kuanzia kesho yeye ni Mchezaji huru.
Morrison ambaye juzi aliondoka huku mchezo dhidi ya Simba ukiendelea amedai kuwa mkataba wake halali na klabu ya Yanga unaisha leo July 14.
Uto[emoji23][emoji23][emoji23]Unikome Kama ulivyokoma ziwa la mama ako sikujui unijui
Ndo tatizo lenu Utopolo mkifungwa fungwa mara mhamie Azam mara sio mpenzi wa mpira kama sio mpenzi wa mpira unajuaje kuchangia si bora urudi kwenye rede ulipozoea?Mimi sio mpenzi wa Mpira wa miguu Ila da huyu Dogo anahitaji kupelekwa Mirembe Kwanza kabla ajapewa ruhusa na TFF kucheza katika timu za hapa Tanzania.sidhani Kama akili zake zipo sawa,naona Kama dishi limeyumba vile
Yanashangaza sana haya mamtu mkuu[emoji23][emoji23] hapo 4g imemkaba anajifanya hapendi soka alafu anacomment katika nyuzi za soka,Ndo tatizo lenu Utopolo mkifungwa fungwa mara mhamie Azam mara sio mpenzi wa mpira kama sio mpenzi wa mpira unajuaje kuchangia si bora urudi kwenye rede ulipozoea?
Msiwe mnakuja huku km mnahasira za karibu. Kakuuliza swali jibu kwa hoja sio kukasirika.Unikome Kama ulivyokoma ziwa la mama ako sikujui unijui
Msiwe mnakuja huku km mnahasira za karibu. Kakuuliza swali jibu kwa hoja sio kukasirika.Unikome Kama ulivyokoma ziwa la mama ako sikujui unijui
Unikome Kama ulivyokoma ziwa la mama ako sikujui unijui
Hii wiki mpaka iishe tutapigwa mpaka ngumi[emoji23]Povu la utopolo hilo
Hii wiki tuwe makini sana, shabiki wa utopolo anaweza hata kukufizia akakupiga jiwe la kichwaMsiwe mnakuja huku km mnahasira za karibu. Kakuuliza swali jibu kwa hoja sio kukasirika.
Hii wiki mpaka iishe tutapigwa mpaka ngumi[emoji23]
kama sio mpenzi wa mpira unajuaje uhusika wa tff nyie utopolo mnatakiwa kwenda mirembeMimi sio mpenzi wa Mpira wa miguu Ila da huyu Dogo anahitaji kupelekwa Mirembe Kwanza kabla ajapewa ruhusa na TFF kucheza katika timu za hapa Tanzania.sidhani Kama akili zake zipo sawa,naona Kama dishi limeyumba vile
Mimi sio mpenzi wa Mpira wa miguu Ila da huyu Dogo anahitaji kupelekwa Mirembe Kwanza kabla ajapewa ruhusa na TFF kucheza katika timu za hapa Tanzania.sidhani Kama akili zake zipo sawa,naona Kama dishi limeyumba vile
Simba hatutaki matapishi ya yanga, waliomleta wamtumie, sisi simba tutatafuta wachezaji wenyewe na tutapata wachezaji wazuri tu
mwanamke Malaya ni Malaya tuuMorrison ni jembe sema yanga wameshindwa kumtumia timu mbovu, kocha mbovu, kamati ya ufundi mbovu yani tafrani