Bench la Ufundi SIMBA SC tafadhali rekebisheni haya kabla jahazi halijazama!

Bench la Ufundi SIMBA SC tafadhali rekebisheni haya kabla jahazi halijazama!

Mwadilifu Mdhulumiwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2021
Posts
419
Reaction score
640
Wandugu Salamu!

Niende moja kwa moja kwenye mada.

Nikiwa kama mdau wa soka na shabiki wa Club ya Simba nimefanya ufuatiliaji wa performance ya kikosi chetu, nimebaini aadhi ya mapungufu ambayo kwa namna moja au nyingine yametunyima ushindi katika mechi tatu muhimu tulizocheza hadi sasa.

Ukiacha ile mechi ya tarehe 19 tuliyopoteza dhidi ya Mazembe, Ile game na Yanga kwakweli hatukupaswa kupoteza maana ilisababisha tuvuliwe taji la ngao ya jamii, wakati sare na Biashara imetufanya kupoteza point 2 muhimu na hivyo tukijikuta sasa tunajipa kazi nyingine ya kuwaombea njaa washindani wetu ili kuja kukamata usukani wa ligi.

Kasoro nilizoziona katika benchi la ufundi na kikosi cha Simba ni hizi zifuatazo:-

Kufanya Sub kwa Mazoea
Ukiacha ile mechi tuliyocheza na Mazembe ambapo ilikuwa muhimu kuwabadilisha wachezaji ili kutoa nafasi kwa mashabiki kuwaona mastaa wote tuliowasajili msimu huu, Lakini kwa ile mechi Yanga, benchi la ufundi lilifanya kitu cha hovyo kumtoa Dilunga na kumuacha Mugalu wakati mle ndani Dilunga alikuwa bora zaidi ya Mugalu.

Lakini kilichoonekana ni kwamba tayari ilikuwa imeshapangwa kuwa kipindi cha pili Dilunga atampisha Boco, lakini kabla ya kufanya hili ilitakiwa benchi la ufundi liangalie kwa umakini nani alitakiwa kutoka kati ya Mugalu na Dilunga?

Sikuona kabisa sababu ya kumuacha Mugalu aendelee na kipindi cha pili, hapa naliomba benchi letu la ufundi wawe wepesi wa kufanya mabadiliko ya kikosi kabla mtu hajavurunda zaidi.

Tatizo hili pia limejirudia hata kwenye mechi na Biashara United, Kagere tayari alionekana kuishiwa mbinu toka kipindi cha kwanza kutokana na mabeki kumkamia kupita kiasi, Hivyo bench la ufundi walipaswa kumuingiza Sakho tangu Dakika ya 46, nafikiri sote ni mashahidi tuliona jinsi SUB ya Sakho ilivyoleta mapinduzi kwenye safu ya ushambuliaji baada ya kumbadili Kagere. Ni Sakho huyo ndiye alisababisha tukapata ile muhimu ambayo hata hivyo umakini mdogo wa Boco ukatuangusha.

Nashauri sana Boco asiruhusiwe tena kupiga penati kama timu haijashinda. Mimi tangu Boco akose penati kwenye ile mechi na Nkana kule Zambia mwaka 2018, nilishampigia mstari mwekundu, maana siuonagi ufundi anaoutumia kufunga zile penati anazofunga. Fundi wa kupiga penati Simba ni Elasto Nyoni na alikuwemo kikosini!

Narudia tena Boco asipige tena penati labda samba iwe iwe imeshashinda!
 
Mm nipingane na ww mm naona sio benchi ndio lifanye marekebisho ila benchi ndio lifanyiwe marekebisho haraka ,kuna makocha wanakula pesa tu pale sio akili,kuendelea kuwaamin ni kuendelea kuipoteza simba kuna muda timu ina shida sio kwa sababu ya kocha ila bahati na wachezaji wenyewe kinachoikuta simba na kinachoendelea man u ni same ata kama wana shinda ila unaona kabisa kocha ana tatzo ,hiv kwel na akil yako timamu mfano ile mechi ya juz kulikua na sababu gan kumtoa inonga alaf boko na kagere wanabak
 
Mm nipingane na ww mm naona sio benchi ndio lifanye marekebisho ila benchi ndio lifanyiwe marekebisho haraka ,kuna makocha wanakula pesa tu pale sio akili,kuendelea kuwaamin ni kuendelea kuipoteza simba kuna muda timu ina shida sio kwa sababu ya kocha ila bahati na wachezaji wenyewe kinachoikuta simba na kinachoendelea man u ni same ata kama wana shinda ila unaona kabisa kocha ana tatzo ,hiv kwel na akil yako timamu mfano ile mechi ya juz kulikua na sababu gan kumtoa inonga alaf boko na kagere wanabak
Sawa unaweza kuwa upo sawa, likini unakumbuka ni benchi hilo la ufundi ndilo lilipa Simba mafanikio tuloyapata msimu uliopita? Binafsi bado nina imani na Benchi la ufundi ila tu makosa madogo ya kiufundi ndiyo yarekebishwe!

Tusiwaige Yanga kubadili makocha kama nguo, jana walimfukuza Kaze, Leo tena wamemwita Kaze huyohuyo! ...Kwanini wasingemwache wamuongeze tu Nabi???.
 
Sawa unaweza kuwa upo sawa, likini unakumbuka ni benchi hilo la ufundi ndilo lilipa Simba mafanikio tuloyapata msimu uliopita? Binafsi bado nina imani na Benchi la ufundi ila tu makosa madogo ya kiufundi ndiyo yarekebishwe!

Tusiwaige Yanga kubadili makocha kama nguo, jana walimfukuza Kaze, Leo tena wamemwita Kaze huyohuyo! ...Kwanini wasingemwache wamuongeze tu Nabi???.
Muda mwingine haitakiwa uangalie mafanikio yaliyopta angalia mafanikio ya mbele sawa tulifanya vzur lkn ukifuatilia vzur ile timu kama uyu kocha mkuu kaikuta ipo ktk hali nzur kuanzia ligi ya ndan adi nje.

Mimi siwez kumpima kwa mafanikio ya mwaka jana tuanze mwaka huu maana kuna wachezaji wameondoka wengine wamekuja kwaiyo tuone sasa je ataweza kufka mbali ila kinachonisikitisha mapema tu sioni kama kuna dalili nzur kuna mambo hata kama sio kocha au mtaalam wa mpra.

ukiangalia unaona kabisa apa kuna shida kwa kocha alaf ndio wachezaji ana tabia ya kuwa na sub ya kukariri ana tabia ya kubahatisha kikosi alaf ukifikiria kuna muda kama vile anakua na asira na mashabik mfano mechi mugalu akikosea alaf mashabik wakishatoa lawama basi mechi inayofuata ataweka mchezaj mwngine ata kama unakosea na yeye kwa sababu fulan alisemwa atacheza uyo uyo
 
Mugalu hata akose nafasi buku kocha mpange kila siku. Game ya juzi na Biashara ndio shahidi hao jamaa wengine hata kupata nafasi za kukosa hawapati wana poor movement katika sehemu ya mwisho.
Mimi silaumu sana mugalu kukosa magoli ninacholaum hawa viongoz wetu waliwaza nn kuendelea na wachezaji hawa mugalu boko na kagere ni vzur lingekua ingizo jipya ambalo ni bora zaid ya hawa alaf mmoja wapo kati ya kagere au mugalu na vzur ingekua kagere angeondoka ata kwa mkopo kwa sababu moja unaweza kuona mugalu anakosa magoli ukatukana ad bas ila shida ata akiingia uyo boko au kagere anaonekana bora ata uyo mugalu na ukisema uweke wawil kule mbele ndio unazd kuarbu timu wanaruka ruka tu na kupunguza nguvu ya timu mtu dk 90 ata on target hana
 
Mugalu hata akose nafasi buku kocha mpange kila siku. Game ya juzi na Biashara ndio shahidi hao jamaa wengine hata kupata nafasi za kukosa hawapati wana poor movement katika sehemu ya mwisho.
Mugalu Bado ni mzuri Sana,tatizo bongo wengi mpira hawajui,mashabiki mandazi,

Simba itafanya tu vizuri,Ni mapema Sana kuhukumu
 
Wandugu Salamu!

Niende moja kwa moja kwenye mada.

Nikiwa kama mdau wa soka na shabiki wa Club ya Simba nimefanya ufuatiliaji wa performance ya kikosi chetu, nimebaini aadhi ya mapungufu ambayo kwa namna moja au nyingine yametunyima ushindi katika mechi tatu muhimu tulizocheza hadi sasa.

Ukiacha ile mechi ya tarehe 19 tuliyopoteza dhidi ya Mazembe, Ile game na Yanga kwakweli hatukupaswa kupoteza maana ilisababisha tuvuliwe taji la ngao ya jamii, wakati sare na Biashara imetufanya kupoteza point 2 muhimu na hivyo tukijikuta sasa tunajipa kazi nyingine ya kuwaombea njaa washindani wetu ili kuja kukamata usukani wa ligi.

Kasoro nilizoziona katika benchi la ufundi na kikosi cha Simba ni hizi zifuatazo:-

Kufanya Sub kwa Mazoea:

Ukiacha ile mechi tuliyocheza na Mazembe ambapo ilikuwa muhimu kuwabadilisha wachezaji ili kutoa nafasi kwa mashabiki kuwaona mastaa wote tuliowasajili msimu huu, Lakini kwa ile mechi Yanga, benchi la ufundi lilifanya kitu cha hovyo kumtoa Dilunga na kumuacha Mugalu wakati mle ndani Dilunga alikuwa bora zaidi ya Mugalu.

Lakini kilichoonekana ni kwamba tayari ilikuwa imeshapangwa kuwa kipindi cha pili Dilunga atampisha Boco, lakini kabla ya kufanya hili ilitakiwa benchi la ufundi liangalie kwa umakini nani alitakiwa kutoka kati ya Mugalu na Dilunga?

Sikuona kabisa sababu ya kumuacha Mugalu aendelee na kipindi cha pili, hapa naliomba benchi letu la ufundi wawe wepesi wa kufanya mabadiliko ya kikosi kabla mtu hajavurunda zaidi.

Tatizo hili pia limejirudia hata kwenye mechi na Biashara United, Kagere tayari alionekana kuishiwa mbinu toka kipindi cha kwanza kutokana na mabeki kumkamia kupita kiasi, Hivyo bench la ufundi walipaswa kumuingiza Sakho tangu Dakika ya 46, nafikiri sote ni mashahidi tuliona jinsi SUB ya Sakho ilivyoleta mapinduzi kwenye safu ya ushambuliaji baada ya kumbadili Kagere. Ni Sakho huyo ndiye alisababisha tukapata ile muhimu ambayo hata hivyo umakini mdogo wa Boco ukatuangusha.

Nashauri sana Boco asiruhusiwe tena kupiga penati kama timu haijashinda. Mimi tangu Boco akose penati kwenye ile mechi na Nkana kule Zambia mwaka 2018, nilishampigia mstari mwekundu, maana siuonagi ufundi anaoutumia kufunga zile penati anazofunga. Fundi wa kupiga penati Simba ni Elasto Nyoni na alikuwemo kikosini!

Narudia tena Boco asipige tena penati labda samba iwe iwe imeshashinda!
Bocco hakukosa penati kuli kitwe Zambia walipocheza na Nkana, alikosa Simba ilipocheza na TP mazembe kwa Mkapa Dar es salaam.
 
too four yangu msimu huu
1:yanga
2:azam
3:biashara
4:mbeya kwanza.
 
Back
Top Bottom