Benchi la ufundi Ihefu FC, msitufanye mashabiki hatuna akili tunajua kila kitu kinachoendelea nyuma ya pazia

Bwanako hajakusaliti acha wivu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Na hizi ni njama za mwamedi amempa bahasha fahadi...nampigia fady anacheka tu et "kaka mpira una matokeo matatu" yaani kirahisi kabisa ananijibu mimi hivyo kundulake

ndio maana wahindi siwaamini kabisa
Ujanja ujanja mwingi hakuna Radha ya mpira kabisa.
 
Jitahidi utumie paracetamol inapunguza maumivu, sema usizidishe 4grams kwa siku unajiweka katika hatari ya kupata magonjwa ya ini ambapo utapata kitambi cha maji.
 
Tupe record za ihefu vs simba ktk mashindano yt ktk misimu 2 hii ..
 
Jitahidi utumie paracetamol inapunguza maumivu, sema usizidishe 4grams kwa siku unajiweka katika hatari ya kupata magonjwa ya ini ambapo utapata kitambi cha maji.
Sawa Daktari nasikia huwa zinaongeza na umbumbumbu Kama wako.
 
wamepigwa khamsa ihefu, linalalamika shabiki la utopolo.

ukisikia mchezo wa mpira una baadhi ya mashabiki vichaa, ndio kama hivi.
 
Mimi ni simba
Hisia zangu naona tumekopwa ushindi sisi tutawapa wa ligi sababu ligi hatuna tunachopambania
Nasubiri game ya ligi nijiprove wrong
 
Nyie yanga mlipokula 4 kwa 1 mlikuwa mmefanya nini?

Ukianza kumlaumu ihefu jiulize wewe ktk hatua hii kipi kiliwahi kukukuta.
 
wamepigwa khamsa ihefu, linalalamika shabiki la utopolo.

ukisikia mchezo wa mpira una baadhi ya mashabiki vichaa, ndio kama hivi.
Hizo hamsa mkawapigea na wydad [emoji16]
 
Nyie yanga mlipokula 4 kwa 1 mlikuwa mmefanya nini?

Ukianza kumlaumu ihefu jiulize wewe ktk hatua hii kipi kiliwahi kukukuta.
Sawa ngoja wydad aje mumpige hizo tano mnazoziita hamsa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…