Benchi la ufundi Ihefu FC, msitufanye mashabiki hatuna akili tunajua kila kitu kinachoendelea nyuma ya pazia

Benchi la ufundi Ihefu FC, msitufanye mashabiki hatuna akili tunajua kila kitu kinachoendelea nyuma ya pazia

Kufungwa amefungwa Ihefu na wameona poa tu..ila Topolo huku mwiko unamgonga.
 
Nilishawahi kusema humu, nikiona dalili za Simba kushinda mechi kwa bahasha nitakuwa wa kwanza kukemea. Kuna raha yake unaposhinda kwa haki. Magoli yote yalikuwa "contested" jana na kipa na mabeki.
Simba Ndiyo timu pekee yenye Safu hatari ya ushambuliaji kwasasa.

Tofauti ya magoli Kati ya Simba na yanga Ni 44 kwa 34.tofauti ya goli kumi.

Mwaka juzi Simba ilimpiga utopolo goli 4, mlihongwa?

Hakuna uto mwenye akili.
 
Kufungwa amefungwa Ihefu na wameona poa tu..ila Topolo huku mwiko unamgonga.
Miaka ya juzi hapa Uto tulimpiga 4 kwenye kombe hilihili la Shirikisho.

Walihongwa?

Haya majamaa akili kinyesi kabisa.

Endeleeni kwenda uwanjani na matokeo mfukoni.
 
Zingatia kuwa Simba SC ni namba 9 Afrika , na kusini mwaka jangwa la Sahara baada ya Mamelodi Sundowns ni Simba SC hata Mazembe wapo chini ya Simba.
Screenshot_20230408-190251.jpg
 
Simba Ndiyo timu pekee yenye Safu hatari ya ushambuliaji kwasasa.

Tofauti ya magoli Kati ya Simba na yanga Ni 44 kwa 34.tofauti ya goli kumi.

Mwaka juzi Simba ilimpiga utopolo goli 4, mlihongwa?

Hakuna uto mwenye akili.
We jamaa vipi? Kwani mimi nimeunga mkono alichoandika mleta mada?
 
Ndiyoooo, sina muda wa kutoa salamu maana nitakua napoteza muda tu, twende moja kwa moja kwenye point kuu.

Hakika NALIA NGWENA toka nianze kushuhudia mpira sijawahi kushuhudia robo fainali mbovu Kama hii ya simba vs ihefu huu ni ukweli usiopingika.

Hii siyo ihefu iliyoifunga yanga, Wala siyo ihefu iliyoifunga Azam na wala siyo ihefu iliyokuja kuleta changamoto uwanja wa mkapa kwa wakubwa wa kariakoo.

Nilitegemea kuona mpira wenye ushindani mpira mzuri na wakuvutia na nilitegemea kuona mpaka dakika tisini hakuna goli ni mwendo wa matuta.

Benchi la ufundi Ihefu FC, jitafakarini kwa hicho mlichokifanya nyuma ya pazia ili kuwapa unafuu hao wakongwe wa kariakoo, ni Jambo la kusikitisha sana Simba anaingiza timu yake ya kikosi cha kwanza halafu kocha wa ihefu unaingiza kikosi cha mazoezini.

Lazima utakula nyingi tu, kocha wa ihefu siyo mgeni na timu za kariakoo ila ulichokifanya ni makusudi kwa sababu kilichopo nyuma ya pazia unakijua na ndiyo maana ukaamua kuingiza wachezaji wasiojua hata kutuliza mpira.

My take, kwa hali hii mpira wetu wa Tanzania utakua unapiga hatua mbili mbele Kisha kurudi hatua tano kuja kujipongeza.
Huna akili.Timu ya mchangani ingefanya nini kwa miamba iliyo bora namba tisa Afrika?
 
Simba Ndiyo timu pekee yenye Safu hatari ya ushambuliaji kwasasa.

Tofauti ya magoli Kati ya Simba na yanga Ni 44 kwa 34.tofauti ya goli kumi.

Mwaka juzi Simba ilimpiga utopolo goli 4, mlihongwa?

Hakuna uto mwenye akili.
Eti timu pekeee
 
Back
Top Bottom