Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinyeo chako kimeshalowa hapoShukurani sana afande wa zenji
Simba Ndiyo timu pekee yenye Safu hatari ya ushambuliaji kwasasa.Nilishawahi kusema humu, nikiona dalili za Simba kushinda mechi kwa bahasha nitakuwa wa kwanza kukemea. Kuna raha yake unaposhinda kwa haki. Magoli yote yalikuwa "contested" jana na kipa na mabeki.
Miaka ya juzi hapa Uto tulimpiga 4 kwenye kombe hilihili la Shirikisho.Kufungwa amefungwa Ihefu na wameona poa tu..ila Topolo huku mwiko unamgonga.
Matokeo uliyokuwa nayo mfukoni yalikuwaje mkuu ndugu yangu.Hakuna hisia hapo wew ndiyo umetumia hisia
We jamaa vipi? Kwani mimi nimeunga mkono alichoandika mleta mada?Simba Ndiyo timu pekee yenye Safu hatari ya ushambuliaji kwasasa.
Tofauti ya magoli Kati ya Simba na yanga Ni 44 kwa 34.tofauti ya goli kumi.
Mwaka juzi Simba ilimpiga utopolo goli 4, mlihongwa?
Hakuna uto mwenye akili.
Uhakika ninao ndyo maana nikaongeaUna uhakika au unahisi?
Bahasha ilitembea [emoji41]Hebu kua straight uzi uwe mfupi, kwamba mikia walipitisha mlungula??
Huna akili.Timu ya mchangani ingefanya nini kwa miamba iliyo bora namba tisa Afrika?Ndiyoooo, sina muda wa kutoa salamu maana nitakua napoteza muda tu, twende moja kwa moja kwenye point kuu.
Hakika NALIA NGWENA toka nianze kushuhudia mpira sijawahi kushuhudia robo fainali mbovu Kama hii ya simba vs ihefu huu ni ukweli usiopingika.
Hii siyo ihefu iliyoifunga yanga, Wala siyo ihefu iliyoifunga Azam na wala siyo ihefu iliyokuja kuleta changamoto uwanja wa mkapa kwa wakubwa wa kariakoo.
Nilitegemea kuona mpira wenye ushindani mpira mzuri na wakuvutia na nilitegemea kuona mpaka dakika tisini hakuna goli ni mwendo wa matuta.
Benchi la ufundi Ihefu FC, jitafakarini kwa hicho mlichokifanya nyuma ya pazia ili kuwapa unafuu hao wakongwe wa kariakoo, ni Jambo la kusikitisha sana Simba anaingiza timu yake ya kikosi cha kwanza halafu kocha wa ihefu unaingiza kikosi cha mazoezini.
Lazima utakula nyingi tu, kocha wa ihefu siyo mgeni na timu za kariakoo ila ulichokifanya ni makusudi kwa sababu kilichopo nyuma ya pazia unakijua na ndiyo maana ukaamua kuingiza wachezaji wasiojua hata kutuliza mpira.
My take, kwa hali hii mpira wetu wa Tanzania utakua unapiga hatua mbili mbele Kisha kurudi hatua tano kuja kujipongeza.
Sawa endeleeni kuishi na takwimuZingatia kuwa Simba SC ni namba 9 Afrika , na kusini mwaka jangwa la Sahara baada ya Mamelodi Sundowns ni Simba SC hata Mazembe wapo chini ya Simba.View attachment 2581251
Sawa mbumbumbu fcMatokeo uliyokuwa nayo mfukoni yalikuwaje mkuu ndugu yangu.
Ihefu 5-1simba
Mbarali imefungwa vyura wa jangwani wanalia.maajabu hayaishi.
Eti timu pekeeeSimba Ndiyo timu pekee yenye Safu hatari ya ushambuliaji kwasasa.
Tofauti ya magoli Kati ya Simba na yanga Ni 44 kwa 34.tofauti ya goli kumi.
Mwaka juzi Simba ilimpiga utopolo goli 4, mlihongwa?
Hakuna uto mwenye akili.
Asante afande wa zenjiKufungwa amefungwa Ihefu na wameona poa tu..ila Topolo huku mwiko unamgonga.
Mimi shabiki wa ihefu.Mshabiki wa Yanga