Benchi la ufundi la Timu ya Taifa liwe bora kuliko la vilabu

Benchi la ufundi la Timu ya Taifa liwe bora kuliko la vilabu

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Taifa stars ifundishwe na walimu wenye ubora na uzoefu mkubwa kuliko wachezaji wanakotoka kwenye timu zao. Hii itachechemua fikra za wachezaji kuhusu timu yao ya Taifa. Mwanafunzi wa chuo kikuu kufundishwa na mwalimu wa secondari haiamshi hamasa ya mwanafunzi kutaka kujifunza. Timu yetu ya Taifa inafundishwa na walimu wenye CV na uzoefu hafifu sana wa mechi za kimataifa, hatutoboi hata kidogo kama tutaebdelea hivi.

Sio tu wachezaji lakini hata mashabiki hawako tayari kwenda kuona timu inayofundishwa na kocha ambae hana uzoefu wa kuifikisha timu hata nafasi ya nne za juu kwenye ligi ya nchi yoyote duniani. Timu inafundishwa na makocha wa low profile kuliko makocha wa timu za wachezaji, hii inaleta mtafaluku kwenye kikosi, hakuna nidhamu au kunakuwa na nidhamuya woga tu ya wachezaji kuogopa bifu na visilani vya kutokuitwa timu ya taifa.

Lazima tupate mwl ambae amewahi kuifikisha timu kwenye nusu au finali au kuchukua kombe la Afcon, CAF au world cup, sio vinginevyo.
 
Kwa wachezaji tulionao unahisi akiletwa hata Guardiola tutatoboa?
TFF asione haya kuwaomba akina uchebe, gamondi, nabi kutoa tuition kwa makocha wetu wazalendo hata kwa maelewano kidogo. Haieleweki mchezaji anaitwa kutoka timu za ulaya zenye mabenchi ya ufundi makubwa sana kuja kucheza timu ya taifa yenye benchi la ufundi hafifu sana kupitiliza. Wachezaji hawa hawezi kujituma sana maana wanatuona hatuko serious. Mfano mchezaji anafundishwa na Gamondi na ghafla anamkuta kocha mdogo wa ndondo cup.
 
hivi bado tuna timu ya taifa..?
ndo maana lazima watumwe akina ahmed ally , kamwe na hashim waite washangiliaji kwenda uwanjani. Benchi la ufundi halina mvuto, ujuzi wala uzoefu. Wennzetu wanatumia walimu wazawa kwenye timu zao za taifa, lakini hao wazawa wana CV kubwa sana kwenye tasnia ya football, sio kama wazawa wetu sie. Mwl yuko tayari kumwacha na kumchukua mchezaji kwaajili ya kubalance sio ubora wake.
 
Kwa wachezaji tulionao unahisi akiletwa hata Guardiola tutatoboa?
Swali zuri sana.

Lkn muulize na hili pia.
Je,umewahi kuona Tanzania kama taifa limewekeza katika KUZALISHA,KUKUZA NA KUENDELEZA VIPAJI VYA MICHEZO KWA LENGO LA MIAKA YA MBELENI KUFUZU FAINALI ZA KOMBE LA MATAIFA YA AFRIKA AU LA DUNIA? UNAWEZA UKAWATAJA KAMA WAPO?
 
TFF asione haya kuwaomba akina uchebe, gamondi, nabi kutoa tuition kwa makocha wetu wazalendo hata kwa maelewano kidogo. Haieleweki mchezaji anaitwa kutoka timu za ulaya zenye mabenchi ya ufundi makubwa sana kuja kucheza timu ya taifa yenye benchi la ufundi hafifu sana kupitiliza. Wachezaji hawa hawezi kujituma sana maana wanatuona hatuko serious. Mfano mchezaji anafundishwa na Gamondi na ghafla anamkuta kocha mdogo wa ndondo cup.
Je makocha wetu hawana sifa za kukaa benchi (leseni)?
 
Je makocha wetu hawana sifa za kukaa benchi (leseni)?
Ukocha ni taaluma. Kuwa na taaluma na kuwa na uzoefu ni vitu 2 tofauti. Tunataka taaluma na uzoefu wako wa kuzifundisha timu zilizofanya vizuri. Huwezi kumpa kazi mkandarasi wa ujenzi mwenye PhD akujengee jengo la gorofa 100 wakati hajawahi kujenga hata jengo la gorofa 3. Pilot wa ndege za watu 5 unaweza kumpa endeshe ndege ya watu 2500?
 
Ukocha ni taaluma. Kuwa na taaluma na kuwa na uzoefu ni vitu 2 tofauti. Tunataka taaluma na uzoefu wako wa kuzifundisha timu zilizofanya vizuri. Huwezi kumpa kazi mkandarasi wa ujenzi mwenye PhD akujengee jengo la gorofa 100 wakati hajawahi kujenga hata jengo la gorofa 3. Pilot wa ndege za watu 5 unaweza kumpa endeshe ndege ya watu 2500?
Kwahiyo Juma Mgunda na Hemed hawana uzoefu? Uwepo wa makocha wazawa timu ya taifa ni faida kwa timu yetu maana wanawaelewa wachezaji wetu hasa wanaocheza ligi za ndani.


Kuna makocha wa nje wamewahi kupita timu ya taifa, uwezo wao ulikua wa kawaida sana kama Maximo, Amunike, Poulsen, na hakuna la tofauti wamefanya.
 
Taifa stars ifundishwe na walimu wenye ubora na uzoefu mkubwa kuliko wachezaji wanakotoka kwenye timu zao. Hii itachechemua fikra za wachezaji kuhusu timu yao ya Taifa. Mwanafunzi wa chuo kikuu kufundishwa na mwalimu wa secondari haiamshi hamasa ya mwanafunzi kutaka kujifunza. Timu yetu ya Taifa inafundishwa na walimu wenye CV na uzoefu hafifu sana wa mechi za kimataifa, hatutoboi hata kidogo kama tutaebdelea hivi.

Sio tu wachezaji lakini hata mashabiki hawako tayari kwenda kuona timu inayofundishwa na kocha ambae hana uzoefu wa kuifikisha timu hata nafasi ya nne za juu kwenye ligi ya nchi yoyote duniani. Timu inafundishwa na makocha wa low profile kuliko makocha wa timu za wachezaji, hii inaleta mtafaluku kwenye kikosi, hakuna nidhamu au kunakuwa na nidhamuya woga tu ya wachezaji kuogopa bifu na visilani vya kutokuitwa timu ya taifa.

Lazima tupate mwl ambae amewahi kuifikisha timu kwenye nusu au finali au kuchukua kombe la Afcon, CAF au world cup, sio vinginevyo.
Wee hizo cv kubwa kwanza hela unayo ya kuwalipa hao makocha walioshinda afcon na champions league? Utaambiwa jamaa anakuja na bench lake na anataka $300,000.

Pili makocha wazawa hawa cv sii kwa sababu timu kubwa zote zinazoshiriki mashindano ya caf wanataka kocha anayetua dar na emirates. Ukitua na kimbinyiko au freah ya shamba hawakutaki. Siku wakikutaka basi ujue hawana hela 🤣🤣🤣🤣

Mfano rahisi tuu yanga kafika final ya cacc lakini hamna ata kocha mmoja mzawa aliye nufaika na hilo, wote wageni. Sio kwamba yanga hawana malegends ambao wangeweza kuwa wasaidizi wakati wakijenga uwezo wa kuwa kocha mkuu?

Mgunda mara ngapi anapewa fimu ina perform lakini mwisho wa siku wanamuweka lembeni na kuleta mwengine?
 
Jamani wekeni GG mechi ya leo. Mtanishukuru baadae
 
Taifa stars ifundishwe na walimu wenye ubora na uzoefu mkubwa kuliko wachezaji wanakotoka kwenye timu zao. Hii itachechemua fikra za wachezaji kuhusu timu yao ya Taifa. Mwanafunzi wa chuo kikuu kufundishwa na mwalimu wa secondari haiamshi hamasa ya mwanafunzi kutaka kujifunza. Timu yetu ya Taifa inafundishwa na walimu wenye CV na uzoefu hafifu sana wa mechi za kimataifa, hatutoboi hata kidogo kama tutaebdelea hivi.

Sio tu wachezaji lakini hata mashabiki hawako tayari kwenda kuona timu inayofundishwa na kocha ambae hana uzoefu wa kuifikisha timu hata nafasi ya nne za juu kwenye ligi ya nchi yoyote duniani. Timu inafundishwa na makocha wa low profile kuliko makocha wa timu za wachezaji, hii inaleta mtafaluku kwenye kikosi, hakuna nidhamu au kunakuwa na nidhamuya woga tu ya wachezaji kuogopa bifu na visilani vya kutokuitwa timu ya taifa.

Lazima tupate mwl ambae amewahi kuifikisha timu kwenye nusu au finali au kuchukua kombe la Afcon, CAF au world cup, sio vinginevyo.
nakuunga mkono
 
Back
Top Bottom