Benchi la ufundi la Timu ya Taifa liwe bora kuliko la vilabu

Benchi la ufundi la Timu ya Taifa liwe bora kuliko la vilabu

Kwahiyo Juma Mgunda na Hemed hawana uzoefu? Uwepo wa makocha wazawa timu ya taifa ni faida kwa timu yetu maana wanawaelewa wachezaji wetu hasa wanaocheza ligi za ndani.


Kuna makocha wa nje wamewahi kupita timu ya taifa, uwezo wao ulikua wa kawaida sana kama Maximo, Amunike, Poulsen, na hakuna la tofauti wamefanya.
Maximo hakuwa wa kawaida mtake radhi , alipekea Tz mpka nafasi ya 97 duniani nafasi amabayo hatujawahi kuifikia before and after yeye
 
Wee hizo cv kubwa kwanza hela unayo ya kuwalipa hao makocha walioshinda afcon na champions league? Utaambiwa jamaa anakuja na bench lake na anataka $300,000.

Pili makocha wazawa hawa cv sii kwa sababu timu kubwa zote zinazoshiriki mashindano ya caf wanataka kocha anayetua dar na emirates. Ukitua na kimbinyiko au freah ya shamba hawakutaki. Siku wakikutaka basi ujue hawana hela 🤣🤣🤣🤣

Mfano rahisi tuu yanga kafika final ya cacc lakini hamna ata kocha mmoja mzawa aliye nufaika na hilo, wote wageni. Sio kwamba yanga hawana malegends ambao wangeweza kuwa wasaidizi wakati wakijenga uwezo wa kuwa kocha mkuu?

Mgunda mara ngapi anapewa fimu ina perform lakini mwisho wa siku wanamuweka lembeni na kuleta mwengine?
Sasa Mgunda Simba Queen tu kafeli
 
Taifa stars ifundishwe na walimu wenye ubora na uzoefu mkubwa kuliko wachezaji wanakotoka kwenye timu zao. Hii itachechemua fikra za wachezaji kuhusu timu yao ya Taifa. Mwanafunzi wa chuo kikuu kufundishwa na mwalimu wa secondari haiamshi hamasa ya mwanafunzi kutaka kujifunza. Timu yetu ya Taifa inafundishwa na walimu wenye CV na uzoefu hafifu sana wa mechi za kimataifa, hatutoboi hata kidogo kama tutaebdelea hivi.

Sio tu wachezaji lakini hata mashabiki hawako tayari kwenda kuona timu inayofundishwa na kocha ambae hana uzoefu wa kuifikisha timu hata nafasi ya nne za juu kwenye ligi ya nchi yoyote duniani. Timu inafundishwa na makocha wa low profile kuliko makocha wa timu za wachezaji, hii inaleta mtafaluku kwenye kikosi, hakuna nidhamu au kunakuwa na nidhamuya woga tu ya wachezaji kuogopa bifu na visilani vya kutokuitwa timu ya taifa.

Lazima tupate mwl ambae amewahi kuifikisha timu kwenye nusu au finali au kuchukua kombe la Afcon, CAF au world cup, sio vinginevyo.
Upo sahihi mkuu! Makocha wetu hawana exposure! Just imagine mchezaji kama Mzize, Job na hadhi zao wanakuja kufundishwa na Morocco kocha type ya Namungo🤣🚮
 
Kwahiyo Juma Mgunda na Hemed hawana uzoefu? Uwepo wa makocha wazawa timu ya taifa ni faida kwa timu yetu maana wanawaelewa wachezaji wetu hasa wanaocheza ligi za ndani.


Kuna makocha wa nje wamewahi kupita timu ya taifa, uwezo wao ulikua wa kawaida sana kama Maximo, Amunike, Poulsen, na hakuna la tofauti wamefanya.
Akina mgunda wa uzoefu wa kufanya nini?
 
Wee hizo cv kubwa kwanza hela unayo ya kuwalipa hao makocha walioshinda afcon na champions league? Utaambiwa jamaa anakuja na bench lake na anataka $300,000.

Pili makocha wazawa hawa cv sii kwa sababu timu kubwa zote zinazoshiriki mashindano ya caf wanataka kocha anayetua dar na emirates. Ukitua na kimbinyiko au freah ya shamba hawakutaki. Siku wakikutaka basi ujue hawana hela 🤣🤣🤣🤣

Mfano rahisi tuu yanga kafika final ya cacc lakini hamna ata kocha mmoja mzawa aliye nufaika na hilo, wote wageni. Sio kwamba yanga hawana malegends ambao wangeweza kuwa wasaidizi wakati wakijenga uwezo wa kuwa kocha mkuu?

Mgunda mara ngapi anapewa fimu ina perform lakini mwisho wa siku wanamuweka lembeni na kuleta mwengine?
Makocha wetu hawa akina Kibadeni, Mkwasa, Julio, Moroko, sijui nani ukiwapa timu ni vurugu tupu kambini hapo; mabifu, chuki, hasira na kila kitu dhidi ya wachezaji. Hawana timu wamefundisha popote pale duniani ikafika popote, sembuse timu ya Taifa? Hata timu za daraja la tatu zinatamani zikatafute makocha nje ya nchi.
 
Kwahiyo Juma Mgunda na Hemed hawana uzoefu? Uwepo wa makocha wazawa timu ya taifa ni faida kwa timu yetu maana wanawaelewa wachezaji wetu hasa wanaocheza ligi za ndani.


Kuna makocha wa nje wamewahi kupita timu ya taifa, uwezo wao ulikua wa kawaida sana kama Maximo, Amunike, Poulsen, na hakuna la tofauti wamefanya.
Hao watatu uliotaja hapo ndio makocha pekee wa Taifa Stars ninaowajua mimi shabiki wa mbali wa mpira. Hata hivyo, hao watatu ndio walifanya angalau mashabiki watoe support kwa wingi kwa timu.
 
Makocha wetu hawa akina Kibadeni, Mkwasa, Julio, Moroko, sijui nani ukiwapa timu ni vurugu tupu kambini hapo; mabifu, chuki, hasira na kila kitu dhidi ya wachezaji. Hawana timu wamefundisha popote pale duniani ikafika popote, sembuse timu ya Taifa? Hata timu za daraja la tatu zinatamani zikatafute makocha nje ya nchi.
Hamna lolote mnawasingizia tuu. Sie kwanza tuna tabia ya kuwakopa hawa makocha wazawa hiyo shida ya kwanza.
Pili hamnaga kocha anakuwa na bifu na mchezaji anayefanga kazi hizo ni tantalila tuu. Kila binadamu anapenda sifa hivyo kocha sifa yake inakuja pale timu inafanya vizuri. Timu kufanya vizuri upate wachezaji wanajituna na ni bora.
 
A
Hebu weka hilo benchi tulione
Aletwe kocha ambae anazijua na kuziishi fitina, changamoto, mipango, mbinu na uzoefu wa kucheza mechi za robo, nusu na finali za Afcon, CAF champions,
Kwahiyo Juma Mgunda na Hemed hawana uzoefu? Uwepo wa makocha wazawa timu ya taifa ni faida kwa timu yetu maana wanawaelewa wachezaji wetu hasa wanaocheza ligi za ndani.


Kuna makocha wa nje wamewahi kupita timu ya taifa, uwezo wao ulikua wa kawaida sana kama Maximo, Amunike, Poulsen, na hakuna la tofauti wamefanya.
 
Hamna lolote mnawasingizia tuu. Sie kwanza tuna tabia ya kuwakopa hawa makocha wazawa hiyo shida ya kwanza.
Pili hamnaga kocha anakuwa na bifu na mchezaji anayefanga kazi hizo ni tantalila tuu. Kila binadamu anapenda sifa hivyo kocha sifa yake inakuja pale timu inafanya vizuri. Timu kufanya vizuri upate wachezaji wanajituna na ni bora.
Nikupe mfano rahisi; Hebu niambie, Dickson Job tangu ajiunge na Yanga aliwahi kushuka kiwango chake lini na kimepanda lini?
 
Upo sahihi mkuu! Makocha wetu hawana exposure! Just imagine mchezaji kama Mzize, Job na hadhi zao wanakuja kufundishwa na Morocco kocha type ya Namungo🤣🚮
Ndiyo maana walikosana. Kocha mahiri angekaa kwanza na machezaji kirafiki na kishikaji kumueleza kwanini ni muhimu kumpangia kucheza namba nyingine kwenye mechi ile badala ya kumfanyia ambush na lazima.
 
Taifa stars ifundishwe na walimu wenye ubora na uzoefu mkubwa kuliko wachezaji wanakotoka kwenye timu zao. Hii itachechemua fikra za wachezaji kuhusu timu yao ya Taifa. Mwanafunzi wa chuo kikuu kufundishwa na mwalimu wa secondari haiamshi hamasa ya mwanafunzi kutaka kujifunza. Timu yetu ya Taifa inafundishwa na walimu wenye CV na uzoefu hafifu sana wa mechi za kimataifa, hatutoboi hata kidogo kama tutaebdelea hivi.

Sio tu wachezaji lakini hata mashabiki hawako tayari kwenda kuona timu inayofundishwa na kocha ambae hana uzoefu wa kuifikisha timu hata nafasi ya nne za juu kwenye ligi ya nchi yoyote duniani. Timu inafundishwa na makocha wa low profile kuliko makocha wa timu za wachezaji, hii inaleta mtafaluku kwenye kikosi, hakuna nidhamu au kunakuwa na nidhamuya woga tu ya wachezaji kuogopa bifu na visilani vya kutokuitwa timu ya taifa.

Lazima tupate mwl ambae amewahi kuifikisha timu kwenye nusu au finali au kuchukua kombe la Afcon, CAF au world cup, sio vinginevyo.
Kwa wachezaji waliopo hata aje kocha mwenye uzoefu wa miaka 20 hakuna lolote
 
TFF asione haya kuwaomba akina uchebe, gamondi, nabi kutoa tuition kwa makocha wetu wazalendo hata kwa maelewano kidogo. Haieleweki mchezaji anaitwa kutoka timu za ulaya zenye mabenchi ya ufundi makubwa sana kuja kucheza timu ya taifa yenye benchi la ufundi hafifu sana kupitiliza. Wachezaji hawa hawezi kujituma sana maana wanatuona hatuko serious. Mfano mchezaji anafundishwa na Gamondi na ghafla anamkuta kocha mdogo wa ndondo cup.
Si atumie utaalamu alopewa na Gamond?
Timu ni wachezaji kwanza halafu kwa asilimia ndogo sana kocha.
 
Taifa stars ifundishwe na walimu wenye ubora na uzoefu mkubwa kuliko wachezaji wanakotoka kwenye timu zao. Hii itachechemua fikra za wachezaji kuhusu timu yao ya Taifa. Mwanafunzi wa chuo kikuu kufundishwa na mwalimu wa secondari haiamshi hamasa ya mwanafunzi kutaka kujifunza. Timu yetu ya Taifa inafundishwa na walimu wenye CV na uzoefu hafifu sana wa mechi za kimataifa, hatutoboi hata kidogo kama tutaebdelea hivi.

Sio tu wachezaji lakini hata mashabiki hawako tayari kwenda kuona timu inayofundishwa na kocha ambae hana uzoefu wa kuifikisha timu hata nafasi ya nne za juu kwenye ligi ya nchi yoyote duniani. Timu inafundishwa na makocha wa low profile kuliko makocha wa timu za wachezaji, hii inaleta mtafaluku kwenye kikosi, hakuna nidhamu au kunakuwa na nidhamuya woga tu ya wachezaji kuogopa bifu na visilani vya kutokuitwa timu ya taifa.

Lazima tupate mwl ambae amewahi kuifikisha timu kwenye nusu au finali au kuchukua kombe la Afcon, CAF au world cup, sio vinginevyo.
kwani yule mama anayenunua goli huko amekuwa kipofu haoni kwanini asiwekeze huko yeye kila siku na vyura nyuma mwiko tu na kolozidad kuharibu pesa ya walipa kodi
 
Si atumie utaalamu alopewa na Gamond?
Timu ni wachezaji kwanza halafu kwa asilimia ndogo sana kocha.
Gamondi (anaejua) kampa ujuzi wa kucheza namba hii, kocha wa timu ya taifa (asiyejua) anataka ambadilishie namba, wataelewana?
 
Back
Top Bottom