Benchi la ufundi Simba lapigwa chini

Benchi la ufundi Simba lapigwa chini

CHIZI VITABU

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2021
Posts
1,061
Reaction score
2,477
Habari ambazo hazijathibitishwa ni kwamba benchi la ufundi limepigwa chini, kama ni kweli ni sawa tu ingawa Hitimana kaonewa
Mzungu keshachachawa hajui tena hata kufanya sub na mapenzi binafsi kwa wachezaji kama wawa yemepitiliza

Matola kwa kweli kama tunayoyasikia ni kweli basi ulaaniwe sana wewe na wenzako na washkaji wenu waliocheza jana maana ni maduka yalikuwa kazini kwenye defence kasoro mkongo Inonga nakumbuka hadi kapombe alienda kuzuia ule mpira uliokuwa unaingia golini kwa wapinzani

Tafadhali fukuzeni matola na Gomez tu na mratibu wa team Abbas Gaza achunguzwe kwa umakini sana. PESA NA USALITI NI VITU VYA KUTISHA SANA
 
Hayo maduka yamelipwa sh ngapi? Kama kuna maduka basi mshahara anaowalipa boss mo ni kiduchu sana tofauti na tunavyoaminishwa kuwa wachezaji wa Simba wana mishahara minono. Kumbe ni makapuku tu wamechukua ela ya Galaxy sababu wana njaa njaa zilizokithiri.

Haya ndugu mwenye thread embu tupe uthibitisho wa hizo tuhuma kwanza. Kisha tujadili njaa za wachezaji wa Simba
 
Hayo maduka yamelipwa sh ngapi? Kama kuna maduka basi mshahara anaowalipa boss mo ni kiduchu sana tofauti na tunavyoaminishwa kuwa wachezaji wa Simba wana mishahara minono. Kumbe ni makapuku tu wamechukua ela ya Galaxy sababu wana njaa njaa zilizokithiri.

Haya ndugu mwenye thread embu tupe uthibitisho wa hizo tuhuma kwanza. Kisha tujadili njaa za wachezaji wa Simba
kulipwa mshahara mkubwa au mdogo kunahusiana nini na U GREEDY ulafi? kwani watawala wa afrika wanaoibia nchi zao kila siku hawana mali za kutosha? au hawalipwi vizuri
 
Duhhh hela haijawahi mwacha mbongo salama kudadeki daaah ! Kikosi cha simba msimu huu baada ya kumaliza biashara ya Mikson na Chama aisee wajiandae kwa changamoto
inasemekana ni mmoja wao kwenye hao makocha , mzungu hajui lolote maskini ya mungu sema kachachawa akili yako haiko sawa sasa hivi watu aliowaamini wamemsaliti vibaya sana
 
Sasa Kocha mkuu Elimu ndogo, Hitimana hana eksipiriensi japo anaelimu kubwa kuliko boss wake na Matola ana leseni C hata ligi ya bongo tu haruhusiwi kuwa kocha mkuu. Kifupi Darosa alikuwa anasafiria nyota ya Sven, saizi ndiyo sura yake halisi inaonekana kwenye kutengeneza timu yake
 
Ni mpumbavu wewe unaleta habari za yzushi humu. Habari za vijiweni unaleta humu bwege wewe
Screen Shot 2021-10-25 at 12.39.23.png

MTOTO MDOGO WEEE KAMA NDUGU YAKO NI MOJAWAPO YA YALE MADUKA MANNE PALE NYUMA KATIKA DEFENCE YA WATU WATANO ILIYOCHEZA UKIMTOA INONGA MTAZITAPIKA TU ***** TUTAWAPIGA ALBADIRI HADI MUWE VIWETE...UEMONA HIYO TWEET YA MAGORI ? KAMUULIZE SASA UTHIBITISHO..MBWEHA WEWE MATAPELI TU NYIE MNAISHI MJINI KWA KUUZA MECHI NA KUUMIZA MIOYO YA MAMILIONI YA WATU
 
View attachment 1986344
MTOTO MDOGO WEEE KAMA NDUGU YAKO NI MOJAWAPO YA YALE MADUKA MANNE PALE NYUMA KATIKA DEFENCE YA WATU WATANO ILIYOCHEZA UKIMTOA INONGA MTAZITAPIKA TU ***** TUTAWAPIGA ALBADIRI HADI MUWE VIWETE...UEMONA HIYO TWEET YA MAGORI ? KAMUULIZE SASA UTHIBITISHO..MBWEHA WEWE MATAPELI TU NYIE MNAISHI MJINI KWA KUUZA MECHI NA KUUMIZA MIOYO YA MAMILIONI YA WATU
🤣🤣🤣kweli mikia mmevurugwa
 
Ndugu Shabiki wa mbumbumbu Acha kubisha, viongozi wa soka Tz utakuwa umewasahau .....kuna tweeti za Mwamedi na Magoli huko lazima mchawi apatikane
Huyo Mwamedi mswahili na Magori wanatafuta namna ya kujiweka pembeni na lawama ndio maana wanatafuta wakuwaangushia mzigo. Huyo Mo hataki kuamuni kuwa Simba yake kaivuruga kwa kufanya biashara ya wachezaji bora pasipo kufanya replacement iliyosahihi. Hataki ionekane Simba yake ni mbovu safari hii.
 
Back
Top Bottom