Benchi la ufundi Simba lapigwa chini

Benchi la ufundi Simba lapigwa chini

Nimekuomba ulete uthibitisho wa hiyo madai yako
Jana Simba ilidharau mechi na ilipopata goli kipindi cha kwanza wakirudi kama mafaza kipindi cha pili ,ishu kuhongwa ni ujinga mchezo unaonekana ,Ila Wawa anatuchomesha sana ,Wawa anajiamini mno mawasiliano mabovu na manula ,Simba inatakiwa icheze kama timu ndogo kufight na siyo kujiona wamemaliza kila kitu
 
Wamezeeka jana eti
2975063_255624114863_status_b13d548c51ee4d33bdbc6c16df10d578.jpg

Tena second half🤣🤣
 
Huyo Mwamedi mswahili na Magori wanatafuta namna ya kujiweka pembeni na lawama ndio maana wanatafuta wakuwaangushia mzigo. Huyo Mo hataki kuamuni kuwa Simba yake kaivuruga kwa kufanya biashara ya wachezaji bora pasipo kufanya replacement iliyosahihi. Hataki ionekane Simba yake ni mbovu safari hii.
Wanafanya utapeli tu
 
Jamaa ni kilaza yaani chizi kweli kweli, eti mechi imeuzwa. Hawataki kuamini kuwa simba yao ni mbovu hata kule Botswana wamepata matokeo kwa zali tu jamaa waliwazidi katika performance.
Wale waswana wamewashinda kimbinu tu, anayesema Usaliti ni kufanya siasa kwenye mpira
 
utahaha sana leo katika yale maduka ya jana ndugu yako ni yupi? albadir kubwa inapigwa soon jiandaeni kulea kilema hapo kwenye nyumba lenu la matapeli wauza mechi
Jamaa ni kilaza yaani chizi kweli kweli, eti mechi imeuzwa. Hawataki kuamini kuwa simba yao ni mbovu hata kule Botswana wamepata matokeo kwa zali tu jamaa waliwazidi katika performance.
 
Mashabiki wengine Kama wewe wapumbavu Sana

Simba hii mbovu mlitegemea iende wapi?

Bora mmetoka mapema kupisha haibu.

Maana mngeanza kupigwa bao tano na kwenda mbele kwenye goup stage.

Simba Ni Mbovu Mbovu Mbovu hivi tuseme Mara ngapi? Mwombeni msamaha Mugalu arudi haraka gemu ya Polisi mnaweza kufa nyingi kesho kutwa.
 
we mpuuzi na uthibitisho uthibitisho kwendaaaaaaaa
Siku zote nilikuwa najua kuwa mwenye hii ID ni mwanaume. Ila leo ndio nimejua kuwa ni mtoto wa kike. Mwanaume hawezi kutamka hilo neno la mwisho uliloandika labda awe shoga.
 
Siku zote nilikuwa najua kuwa mwenye hii ID ni mwanaume. Ila leo ndio nimejua kuwa ni mtoto wa kike. Mwanaume hawezi kutamka hilo neno la mwisho uliloandika labda awe shoga.
Hata nikiwa shoga haiondoi ukweli kwamba huyo ndugu yako aliyehusika kuuza mechi au wewe kama ndiye yule mjumbe wa kamati ya utendaji wa zamani aliyekimbia na gate collection milioni 12 za klabu lazima mshuhulikiwe we tukana matusi yoote lakini dhambi ya jana itawa cost NAUNGANA NA MAGORI DHAMBI YA USALITI NI MBAYA SANA HAIKUBALIKI, ushamaliza tusi la shoga lipi limebaki bwashee?? la mama au bibi?
Over to you knucklehead na jinsi usivyo na aibu hapo sasa hivi unakula mibia na minyama na mitomato sauce na mikachumbari kwa hela za kuuza mechi shame on you
Screen Shot 2021-10-25 at 12.39.23.png
 
Haya mambo ya kuona ukifungwa umehujumiwa utayaona Tanzania tu .
kafa ole 5-0 hauwezi kusikia kiongozi wa man u amesema amehujumiwa.tujifunze .
Uhujumiwe kwa lipi kwa kiasi gani?
Haulipi mishahara?
Una ugomvi na wachezaji?
 
Mimi nachojua wale jamaa hatujawaloga basi hayo mengine ni yenu....


Ila kama wangelogwa wale hata bao moja wasingepata
 
Haya mambo ya kuona ukifungwa umehujumiwa utayaona Tanzania tu .
kafa ole 5-0 hauwezi kusikia kiongozi wa man u amesema amehujumiwa.tujifunze .
Uhujumiwe kwa lipi kwa kiasi gani?
Haulipi mishahara?
Una ugomvi na wachezaji?
@CHIZI VITABU
 
Hata nikiwa shoga haiondoi ukweli kwamba huyo ndugu yako aliyehusika kuuza mechi au wewe kama ndiye yule mjumbe wa kamati ya utendaji wa zamani aliyekimbia na gate collection milioni 12 za klabu lazima mshuhulikiwe we tukana matusi yoote lakini dhambi ya jana itawa cost NAUNGANA NA MAGORI DHAMBI YA USALITI NI MBAYA SANA HAIKUBALIKI, ushamaliza tusi la shoga lipi limebaki bwashee?? la mama au bibi?
Over to you knucklehead na jinsi usivyo na aibu hapo sasa hivi unakula mibia na minyama na mitomato sauce na mikachumbari kwa hela za kuuza mechi shame on you
View attachment 1986393
Niishie kusema kuwa mpira haujui unafuata tu upepo wa boss wako. Na pia hata uwezo wa kuchanganua mambo hauna. Wewe ni mshabiki oya oya wa boss Mo. Wanajua mpira wameona hakuna cha hujuma wala nini
 
Habari ambazo hazijathibitishwa ni kwamba benchi la ufundi limepigwa chini , kama ni kweli ni sawa tu ingawa Hitimana kaonewa
Mzungu keshachachawa hajui tena hata kufanya sub na mapenzi binafsi kwa wachezaji kama wawa yemepitiliza

Matola kwa kweli kama tunayoyasikia ni kweli basi ulaaniwe sana wewe na wenzako na washkaji wenu waliocheza jana maana ni maduka yalikuwa kazini kwenye defence kasoro mkongo Inonga nakumbuka hadi kapombe alienda kuzuia ule mpira uliokuwa unaingia golini kwa wapinzani

Tafadhali fukuzeni matola na Gomez tu na mratibu wa team Abbas Gaza achunguzwe kwa umakini sana. PESA NA USALITI NI VITU VYA KUTISHA SANA
Kocha Hana KOSA
 
Tanzania kila mtu ni kocha, yaani nchi ina mamilioni ya makocha wa mpira. It's very strange.
 
Back
Top Bottom