Hata nikiwa shoga haiondoi ukweli kwamba huyo ndugu yako aliyehusika kuuza mechi au wewe kama ndiye yule mjumbe wa kamati ya utendaji wa zamani aliyekimbia na gate collection milioni 12 za klabu lazima mshuhulikiwe we tukana matusi yoote lakini dhambi ya jana itawa cost NAUNGANA NA MAGORI DHAMBI YA USALITI NI MBAYA SANA HAIKUBALIKI, ushamaliza tusi la shoga lipi limebaki bwashee?? la mama au bibi?
Over to you knucklehead na jinsi usivyo na aibu hapo sasa hivi unakula mibia na minyama na mitomato sauce na mikachumbari kwa hela za kuuza mechi shame on you
View attachment 1986393