kusufuria makoko
Member
- Mar 22, 2018
- 77
- 82
Humjui Aussems; mechi Simba anamtoa Nkana uwanja wa taifa, alifanya sub akamuingiza Dilunga alieenda kutoa assist kwa Chama aliefunga goli la tatu tukawatoa wale jamaa.Sven na Aussems wote hawajui kubadili mbinu uwanjani, wanacheza namna moja wakati wote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Boko ni Kaptain wa timu, na anatakiwa acheze, kama kaptainKuna umuhimu gani wakucheza boko na kagere?anatolewa kagere badala ya boko kweli bench laufundi linashida kubwasana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuwa kocha mkuu kweny mamlaka husika.Lipuli hakuwa kocha mkuu?
Au kwa timu ikifika katika mashindano ya kimataifa??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli, mnamcriticize kocha kwenye game zinazokuwa tofauti na matarajio yenu ,Kwa mfano mechi ya Mapinduzi dhidi ya Mtibwa na draw ya 2-2 dhidi ya Yanga mlimsema sana kocha, akashinda game kadhaa katikati hapa mkasahau ubovu wake kiujumla, mkaanza kujimwambafai eti "mtatueleza ile droo mliipataje", leo kafungwa kawa mbaya tena [emoji16][emoji16][emoji23]Mapungufu ya benchi hasa kimbinu kwa head coach wa simba yapo wazi , labda kama sio mfuatiliaji wa mpira
Simba wamrudishe Uchebe, huyu kocha sijawahi kumkubali, Pili Matola yuko vzuri akiwa head coach sio chini ya MTU, zaidi ya hapo atakuacha uharibu au atumie mbinu ili ukitoka apewe nafasi ya kuonyesha uwezo wake, na kwa mechi ya Leo kafanikiwa hasa,wampe tu timu tu kwa muda, huyu aliiweza Yanga akiwa Lipuli hawezi shindwa akiwa Simba, huu ndo ukweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Namjua Aussems kuliko wewe, tulikuwa tunakwenda Misri na Kongo klabu bingwa Afrika tukiwa tumefunguka kabisa na matokeo yake unayajua.Humjui Aussems; mechi Simba anamtoa Nkana uwanja wa taifa, alifanya sub akamuingiza Dilunga alieenda kutoa assist kwa Chama aliefunga goli la tatu tukawatoa wale jamaa.
Na sio mechi hiyo tu, Dilunga alitumika sana na Aussems kwenda kuzimaliza kipindi cha pili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi kabisa mkude alipaswa kuwa na msaidizi pale Kati, kutokuwepo kwa Mzamiru Yasin ni tatizo kubwa sanaWakuu,
Ni muda mrefu sasa nina mashaka na uwezo wa benchi la ufundi la Simba. Hata ushindi tunaopata ni juhudi binafsi zaidi kuliko maelekezo ya kiufundi.
Mechi ya leo ni mfano bora kabisa. Huwezi kuanza kwa kumtumia kiungo kama Kahata ambaye anacheza staili inayofanana na viungo wa Yanga! Mechi ya leo ilihitaji viungo wenye kasi zaidi.
Hata timu inapoonesha kulemewa hakuna mabadiliko ya haraka! Timu inacheza vile vile wakati plan zimeshafeli. Mkude alihitaji msaidizi wa kukaba sababu ya staili yake ya uchezaji lakini kumpanga na watu slow na wasio wakabaji kama Kahata na Chama ilifeli mapema toka mechi ianze na kulikuwa na hatari ya kupata hata kadi nyekundu ilipaswa benchi la ufundi ku change plan haraka!
Simba ina chief coach ambaye hana experience na kufundisha club zaidi ya kupatia experience Simba. Wachezaji wanatoa kila walichonacho lakini plan mbovu kwa mechi za kimbinu kama hizi zinawaangusha.
Simba ina timu bora kabisa, tunahitaji pia benchi la ufundi bora ili kitumia vipaji vilivyopo vizuri.
Nimeandika hili baada ya kufatilia mechi nyingi zaidi ya mechi ya leo na pengine ushindi hututia upofu lakini zipo mechi nyingi makocha wa timu pinzani wanafanikiwa kimbinu lakini wanazidiwa na experience ya wachezaji wa Simba kimbinu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Izo kadhaa ni chache sanaHow?
Huwa anacheza dakika kadhaa lakini bado haonyeshi uwezo wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Fraga angeweza kucheza nyuma ya Mkude, hapo ndo unapogundua kuwa kocha anapwaya.Upo sahihi kabisa mkude alipaswa kuwa na msaidizi pale Kati, kutokuwepo kwa Mzamiru Yasin ni tatizo kubwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app