Benchi la ufundi Simba

Ausems alifukuzwa sababu alitoroka na kufanya mazungumzo na timu nyingine South Africa

Huyu Kuku kishingo akutane na Mazembe au Al Ahly mtapigwa tano nje ndani
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Manula pia amekuwa mbovu kwa mipira ya mbali, simba waanze kutafuta kipa mwingine, wakipata kama Abarola Wa Azam utakuwa pia, Manila kwa sasa anaweza kuisaidia Mbeya City zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hauwezi kuwa serious, unamzungumzia Abarola wa Azam au mwingine!!? Hivi huwa unafatilia mechi za Azam na magoli ya kitoto anayofungwa? Kwanza ana papara na hasira zisizo na sababu, amewagharimu sana Azam. Yule hawezi kuwa mbadala wa Manula.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ike
Hiyo game mlishinda kwa dhuluma tu.
 
Umejibu vyema sana. Abarola siyo mbadala wa Manula ana utoto mwingi. Ni bora kumchukua Metacha Mnata au golikipa kijana wa Biashara United tukamuandaa kuchukua nafasi ya Manula.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umejibu vyema sana. Abarola siyo mbadala wa Manula ana utoto mwingi. Ni bora kumchukua Metacha Mnata au golikipa kijana wa Biashara United tukamuandaa kuchukua nafasi ya Manula.

Sent using Jamii Forums mobile app
Simba walivyomchukua Kakolanya, waliona kama wamewakomesha sana Yanga kwa kuchukua kipa aliyebora zaidi Tanzania. Lakini leo tena anaonekana Metacha wa Yanga ndiye bora zaidi kuwa mbadala wa Manula. Kiukweli kabisa, Manula tokea ajiunge Simba kafanya Saves nyingi sana za clear chances ambazo zingine one against one. Hakuna kipa mzuri duniani asiyefungwa. na lile goli sio la kumlaumu kipa bali msifie mpigaji kwani kaipiga kwa ufundi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna taarifa kuwa Simba wamekuwa wakibebwa sana kwenye ligi labda sasa marefa wameogopa hizo zingine ni porojo tu.
 
Kwa anayemlaumu manula atuelezee Ni eneo gani alitakiwa kusimama wakati faul inaenda kupigwa.

Pia Kama unasema manula Ni kipa mbovu, tuambie Ni kipa gani bongo anamzidi manula, ( tupe na statistics).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lile goli...
Ni sehemu ukuta ulipokuwapo;
Mkude kidogo hakua vyema
Alimkosa msaidizi .

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli, Yaani watu wanaacha kumsifia Morrison kwa kupiga faulo nzuri, wanamlaumu manula ambaye alikaa sehemu sahihi na alijaribu kuifuata, ila alishindwa kwasababu Morrison alipiga shoot lenye kasi Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na matatizo ya bench la ufundi, mkude na boko wanahitaji wasaidizi.
simba mechi hii ilishindwa sababu yanga wana kocha bora sielewi kwanini kocha amekuwa akimng'ang'ani boko na mkude.Fraga ni mzuri zaidi ya mkude lakini kila siku fraga benchi mkude anaanza, kabla ya hapo mkude alipewa kadi ya njano kwa rafu ya kijinga Manula akaenda kumfokea baada ya hapo akarudia kucheza rafu bila sababu sababu alikuwa na uwezo wa kuzuia.Boko amekuwa chini ya kiwango zaidi ya mechi nne lakini makocha wamekuwa wanamwacha hadi mwisho bila kujali hana madhara
 
Hapo kwa mkude siyo kweli kabisa, labda useme wacheze wote fraga chini na mkude juu. Lakini Kama nafasi ni moja hakuna kocha anayeweza kumuweka mkude nje akamuanzisha fraga. Mpira Mchezo wa wazi kabisa Kila mtu anawaona wote wawili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uko sahihi mkuu, kuna wakati nilisema kabla ya kuhangaika kutafuta viungo washambuliaji, tulipaswa tutafute kiungo mkabaji mmoja,beki wa kati mmoja na mshambuliaji mmoja atakayecheza na kagere

sasa tumejaza viungo washambuliaji wengi ambao wengine hatuwatumii.
 
Utaratibu wa usajili wa Simba una magumashi mengi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Nakuunga mkono,fraga alitakiwa kuanza sababu anajua kunusa hatari na mtu wa kutumia minguvu kama viungo wa yanga,simba inacheza kibishoo sana na kwa style hiyo itachukua muda sana kuifunga yanga sababu yanga wakicheza na yanga wanacheza kufa na kupona kitu ambacho simba hawana kasi hiyo,fraga anakaba sana katika viungo wa simba anatakiwa kuanza mechi nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…