Benchi la ufundi Yanga sc, nadhani mmeona dharau alizozionesha Benard Morrison kwenye mchezo wa Yanga dhidi ya Dodoma jiji Fc

Naunga mkono hoja. Kama viongozi wa Yanga watakosa kabisa mbadala wake mwenye ubora wa hali ya juu, basi ni bora tu wakamrejesha Yacouba Sogne kutoka Ihefu!

Ila siyo Bernard Morrison, ambaye kiukweli mchango wake umebakia kuwa mdogo sana katika timu yetu.
 
Morrison anajua mpira ila sijui kama yupo sawa kichwani yeye hata kupata kadi yeyote kwenye mechi muhimu haoni tabu kwa wale Wydady wanaotengeneza mazingira ya Kadi nyekundu kama walivyofanyiwa Mamelodi jana huyo Morrison achukui hata dakika kadhaa anatengenezewa mazingira ya nje ili wapate ushindi kirahisi...
 
Kweli kabisa mkuu anahitajika mchezaji mwenye talanta na nidhamu siyo huyo mwenda wazimu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Huyo dogo hawezi kubadilika kabisa huyo ni sikio la kufa.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sawa boss, na moloko akipatikana winger mzr na mwenye kasi na yeye atupishe....kwa heshima tutawaaga, na huyu feisal aombe samahani then tuendelee kushehekea ubingwa msimu ujao
Wampe kibunda Pro Nabbi achague wachezaji anaowataka yeye hakika tutaona mzuri kutoka yanga.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tanzania mchezaji akifunga kwenye mechi ya simba na yanga tu basi basi hata afanye ujinga gani watu hawana mda nae na juzi katoka kufunga kwenye kombe la looser akichukua goal lake mngeshinda kweli ile mechi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…